Category: Kitaifa
Bolt,Uber kurejesha huduma Tanzania
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Arusha Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA), imesema, kampuni za usafiri kwa njia ya mtandao Bolt na Uber zinatarajia kurejea kutoa huduma za usafiri nchini Tanzania. Hayo yamesemwa leo Jumatatu, Septemba 12, 2022 na Mkurugenzi Mkuu wa…
NMB yachangia mil.120/- kufanikisha mkutano wa ALAT
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mbeya Benki ya NMB imechangia kiasi cha shilingi milioni 120 kufanikisha maandalizi na kufanyika kwa mkutano mkuu wa 36 wa Jumuiya ya Tawala za Serikali za Mitaa (ALAT) wa mwaka huu unaonza jijini Mbeya. Akikabidhi mfano wa hundi…
Serikali yapokea bil.13.2/- kupunguza migogoro ya wanyama na binadamu
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Ruvuma SERIKALI imepokea Euro milioni 6 sawa na shilingi bilioni 13.2 kutoka Shirika la Ujerumani la GIZ kwa ajili ya mradi wa kupunguza migogoro baina ya binadamu na wanyamapori hasa kwenye maeneo ya pembezoni mwa hifadhi. Hayo yamesemwa…
Kinana ahitimisha ziara kwa kuzungumza na wana-CCM Mwanza
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, amehitimisha ziara yake mkoani Mwanza kwa kuzunguzumza na wanachama wa Chama hicho kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini humo. Mkutano huo ulihudhiriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Katibu…
Karani wa sensa akutana na ‘mauzauza’ aona miti badala ya nyumba
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Mratibu wa wa sensa katika Wilaya ya Igunga Ally Hemed amesema kwamba Karani wa Sensa wilayani Igunga mkoani Tabora, alishindwa kuifikia kaya moja iliyopo katika kijiji cha Migelele, Kata ya Lugubu wilayani humo baada ya…