Category: Kitaifa
TPA yawahakikishia wadau wa madini kuwahudumia kwa ufanisi
Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania TPA imewakikishia Wadau wa Sekta ya Madini Nchini kuendelea kuhudumiwa kwa Weledi na ufanisi wakati wote wa kusafirisha nje ya Nchi au kuingiza Nchini bidhaa na malighafi za Sekta ya Madini. TPA inashiriki kikamilifu…
Tanzania yachaguliwa katika Baraza Kuu la ITU 2023-2026
Na Innocent Mungy,JamhuriMedia,Bucharest Tanzania imechaguliwa miongoni mwa nchi 48 kati ya nchi 193 wanachama wa ITU kuwa katika Baraza la Shirika la Mawasiliano duniani – International Telecommunication Union (ITU) kwa mwaka 2023 hadi 2026. Tanzania ni miongoni mwa nchi 13…
Mgombea ajiondoa kwenye uchaguzi kwa kuwaogopa wajumbe
Na Mwandishi Wetu,JmahuriMedia,Babati Mmoja kati ya wagombea wa nafasi ya uwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Babati vijijini Ezekiel Dangalo ameamua kujitoa katika uchaguzi kwa madai ya kuwa na hofu ya kushindwa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa awali. “Nimeamua…
Jumuiya ya Kimataifa yamtangaza Rais Samia mshindi tuzo ya amani
Jumuiya ya Kimataifa na Amani imemtangaza Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mshindi wa tuzo mbili za kimataifa ikiwemo ya amani duniani 2022. Hayo yamebainishwa na mwenyekiti wa Taifa wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT), Gaudencia Kabaka, amesema Rais Samia…