JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Tanzania kuimarisha usambazaji wa maji jijini Dar es Salaam

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Christopher Sayi, amesema Serikali imeanzisha mradi mkubwa wa maji katika Jiji la Dar es Salaam na utakapokamilika, kwa miaka 15 ijayo Jiji hili halitakuwa na shida ya maji.

Mkono: Hata JK yapo ya Chadema anayoyakubali

*Aeleza sababu za kusaini kumng’oa Waziri Mkuu
*Asukumwa na wizi uliofanywa mgodini Buhemba

Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono (CCM), ameamua kueleza sababu zilizomfanya asaini fomu ya majina ya wabunge katika kusudio la kumpigia kura Waziri Mkuu Mizengo Pinda ya kutokuwa na imani naye.

Waandamanaji kupinga unyonyaji wa Barrick

Mkutano wa mwaka huu wa Barrick Gold Mine uliofanyika Toronto, Canada, umeingia dosari ya maandamano.

Mkulo alivyopiga dili

[caption id="attachment_46" align="alignleft" width="314"]Mbunge wa Singida Mjini, Mohamed Dewji akiteta na Mbunge wa Iramba Mashariki, Mwigulu Mchemba[/caption]*Siri nzito zavuja alivyoishinikiza CHC iwauzie kiwanja Mohammed Enterprises
*Katika kumlinda Katibu Mkuu akanusha maelekezo aliyotoa Mkulo hotelini
*Soma mgongano wa kauli na nakala za mashinikizo ya Wizara ya Fedha kwa CHC

Siri nzito na zenye kuitia aibu Serikali juu ya mgogoro wa uuzaji wa kiwanja Na. 10 kilichopo Nyerere Road kwa kampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (METL) zimeanza kuvuja.

Uchunguzi uliofanywa na Gazeti la Jamhuri kwa wiki tatu sasa na kufanikiwa kupata nyaraka nzito kutoka ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG), zinafanana kwa kila hali na nakala ya nyaraka zilizopo Wizara ya Fedha, unashitua.

Vincent Nyerere alivyoilipua TBS bungeni

Katika Mkutano wa Bunge uliomalizika, Mbunge wa Musoma Mjini, Vincent Nyerere (Chadema), alilipua mbinu zilizofanywa na ‘wakubwa’ wa TBS kwa kujiundia kampuni hewa za ukaguzi wa magari nje ya nchi na kuliibia taifa mabilioni ya shilingi. Yafuatayo ni maneno aliyoyazungumza bungeni.

EWURA yazidi kubana wachakachuaji

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Mafuta na Maji (EWURA) sasa imepiga hatua nyingine na kufanikiwa kudhibiti uchakachuaji wa mafuta ya dizeli na petroli, baada ya kuanza kutumia teknolojia ya vinasaba (maker).