Category: Kitaifa
Twende tuwekeze Sudan Kusini – Jenerali Kisamba
*Saruji, ngano, vifaa vya ujenzi, alizeti vinahitajika *Asema majirani zetu wameshaanza kunufaika mno Ushauri umetolewa kwa Tanzania na Watanzania kuamka na kuchangamkia fursa za uwekezaji na biashara zilizojitokeza katika taifa jipya la Sudani Kusini. Ushauri huo umetolewa na…
Kashfa uporaji ardhi kubwa Pinda ahusishwa
*Mmoja wa washirika ajitoa kuepuka aibu
*Ni Chuo Kikuu cha Iowa cha Marekani
*Yabainika wanaleta teknolojia hatari nchini
[caption id="attachment_124" align="alignleft" width="160"]Waziri Mkuu Mizengo Pinda[/caption]Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameendelea kubanwa kuhusu uamuzi wake wa kuwasaidia Wamarekani kujitwalia ekari laki nane za ardhi kwa miaka 99 mkoani Katavi.
Nyalandu anavyomhujumu Kagasheki
*Adaiwa kula njama wawekezaji wasilipe kodi
*Aendesha kikao bila Kagasheki kuwa na taarifa
*Bodi ya TANAPA yakataa mapendekezo yake
Mgogoro ulioripotiwa na Gazeti hili la JAMHURI wiki iliyopita kati ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamis Kagasheni na Naibu wake, Lazaro Nyalandu, sasa umechukua sura mpya.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Nyalandu, ameingia matatani tena baada ya kubainika kuwa anashinikiza Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) lisianze kutoza ‘concession fee’ katika hoteli za kitalii nchini, JAMHURI limebaini.
Uamuzi huo unaikosesha Serikali mapato yanayofikia Sh bilioni 17 kwa mwaka. Jaribio la kwanza la Nyalandu kufanikisha mpango wake liligonga mwamba kwenye kikao chake na menejimenti ya TANAPA, kilichofanyika Juni 8, mwaka huu mjini Moshi.
Pinda akunjua makucha rasmi
Serikali imesema kuanzia sasa watumishi wabadhirifu wa fedha za umma hawatahamishiwa vituo vingine vya kazi, bali watachunguzwa na ikibainika watafukuzwa kazi mara moja.
Katibu Mkuu Nishati amwagiwa sifa
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi, amemwagiwa sifa kwa jinsi alivyowabana watendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na kufanikisha upatikanaji wa mita 85,000 za umeme.
Habari mpya
- Mradi wa TAZA mbioni kukamilika – Kapinga
- Serikali kuendelea Kuboresha Huduma za Afya ya Mama na Mtoto
- TMA yatoa angalizo la mvua kubwa kwa siku tano
- Tanzania yajipanga na maamuzi ya Trump kuhusu ARV
- MSD: Miaka minne ya Rais Dk Samia, amefanya mapinduzi makubwa ya uwekezaji sekta ya afya
- Dk Biteko azitaka mamlaka za maji kupunguza upotevu wa maji
- …Wadau wachambua miaka 4 ya Rais Dk. Samia madarakani
- Bunge latoa kongole utendaji ufanisi wa TPA
- UN: Majanga ya mazingira yaliwaacha wengi bila makazi 2024
- Emir wa Qatar awakutanisha Kagame, Tshisekedi
- Urusi na Ukraine zashambuliana baada ya mawasiliano ya Putin na Trump
- NFRA Yapanua Uwekezaji ,Ufanisi katika Sekta ya Mbolea Nchini
- Maendeleo Benki kutekeleza kwa vitendo huduma ya kifedha kidigitali
- Serikali yavuna bilioni 3/- ndani ya miezi mitatu
- Bunge la Ujerumani kupitisha kuzuia kikomo cha ukopaji