Category: Kitaifa
Vigogo wa bilioni 300 wakalia kuti kavu
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema vyombo vya dola vimeanza kuchunguza taarifa za kuwapo kwa zaidi ya Sh bilioni 300 zilizofichwa katika benki nchini Uswisi.
Pinda ameliambia Bunge kuwa Serikali imepata taarifa hizo kupitia vyombo vya habari, na kwamba tayari wameanza uchunguzi na baadaye watatangaza matokeo.
Kashfa uporaji ardhi kubwa…
Pinda ahusishwa
*Mmoja wa washirika ajitoa kuepuka aibu
*Ni Chuo Kikuu cha Iowa cha Marekani
*Yabainika wanaleta teknolojia hatari nchini
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ameendelea kubanwa kuhusu uamuzi wake wa kuwasaidia Wamarekani kujitwalia ekari laki nane za ardhi kwa miaka 99 mkoani Katavi.
Anayetuhumiwa kumteka Dk. Ulimboka azungumza
*Ni Kamanda Msangi anyeongoza Tume ya kuchunza utekaji ulivyotokea
*Ujumbe wasambazwa kuwa ndiye alimpora simu ya mkononi na ‘wallet’
*Yeye asema amekatishwa tamaa, Professa Museru aeleza alichosikia
Askari anayetuhumiwa kumteka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Nchini, Dk. Stephen Ulimboka, Kamishna wa Polisi Msaidizi (ACP), Ahmed Msangi, amehojiwa na kuzungumzia kilichotokea kuhusiana na tuhuma kwamba aliambiwa arejeshe simu ya mkononi na pochi ya Dk. Ulimboka.
Twende tuwekeze Sudan Kusini – Jenerali Kisamba
*Saruji, ngano, vifaa vya ujenzi, alizeti vinahitajika *Asema majirani zetu wameshaanza kunufaika mno Ushauri umetolewa kwa Tanzania na Watanzania kuamka na kuchangamkia fursa za uwekezaji na biashara zilizojitokeza katika taifa jipya la Sudani Kusini. Ushauri huo umetolewa na…
Kashfa uporaji ardhi kubwa Pinda ahusishwa
*Mmoja wa washirika ajitoa kuepuka aibu
*Ni Chuo Kikuu cha Iowa cha Marekani
*Yabainika wanaleta teknolojia hatari nchini
[caption id="attachment_124" align="alignleft" width="160"]Waziri Mkuu Mizengo Pinda[/caption]Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameendelea kubanwa kuhusu uamuzi wake wa kuwasaidia Wamarekani kujitwalia ekari laki nane za ardhi kwa miaka 99 mkoani Katavi.
Habari mpya
- Mchungaji Dk Getrude Rwakatare aendelea kukumbukwa
- Serikali yashauriwa kumwachia huru Lissu na wenzake
- Papa awatakia waumini Pasaka njema
- Watu wenye silaha wamewaua takribani watu 56 Nigeria
- Zelenskiy ametoa salamu za Pasaka kwa kuilalamikia Urusi
- Askofu Chilongani : Serikali, CHADEMA kaeni meza moja mmalize tofauti zenu
- Balozi Matinyi : Nitatumia mbinu za kihabari kung’amua na kujifunza mikakati ya kuvutia utalii
- Waziri Majaliwa atoa rai kwa viongozi wa dini kuombea Uchaguzi Mkuu 2025
- Wanane wachukua fomu kugombea Jimbo la Wete
- Dk Biteko awaasa wakristo kuliombea taifa
- Mchungaji Mbeya auawa kwa tuhuma za ushirikina
- Saba wafariki, wengine 15 wajeruhiwa Mufindi
- Marekani yatishia kujiondoa mazungumzo ya amani ya Ukraine
- Mashindano ya kwanza ya mbio za roboti duniani zinazofanana na binadamu zafanyika China
- Hashim Lundenga, mratibu wa zamani wa Miss Tanzania afariki dunia