JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Rais Samia kuunguruma Kigoma Oktoba 16

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kigoma Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi ya siku nne mkoani Kigoma, kuanzia tarehe 16 hadi 19 mwezi huu. Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu ziara hiyo, mkuu wa mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye…

Tanzania,Kenya wakubaliana kuondoa vikwazo 14 vya kibiashara

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dar Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Kenya, William Ruto wamekubaliana kuondoa vikwazo 54 kati ya 68 ambavyo vilikuwa vikichangia kukwamisha biashara kati ya nchi hizo. leo Jumatatu Oktoba 10, 2022 Ikulu Dar es Salaam…