Category: Kitaifa
‘Majaji ndiyo waliomtuma Lissu’
Hotuba kali ya Tundu Lissu ya kukosoa uteuzi wa majaji dhaifu uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete, imeelezwa kwamba ina baraka zote za baadhi ya viongozi waandamizi wa Mhimili wa Mahakama, JAMHURI limeelezwa.
HOTUBA YA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
DIRA YA WIZARA:
Kuwa na uhakika wa milki za ardhi, nyumba bora na makazi endelevu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
DHIMA:
Kuweka mazingira yanayofaa kuleta ufanisi katika utoaji wa huduma za ardhi, nyumba na makazi
Wapinzani wachekelea Pinda kugwaya
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imeeleza kufarijika na kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba kampuni ya Agrisol haijapewa ardhi ya Katumba na Mishamo mkoani Katavi.
Sasa umefika wakati wa vitendo-Tibaijuka
[caption id="attachment_195" align="alignleft" width="160"]Profesa Anna Tibaijuka[/caption]Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema kuanzia sasa inachofanya ni vitendo tu katika kukabiliana na wavunjifu wa sheria za ardhi, wakiwamo wavamizi wa maeneo yasiyoruhusiwa kujengwa.
Tibaijuka anguruma
[caption id="attachment_191" align="alignleft" width="189"]Profesa Anna Tibaijuka[/caption]*Akomesha viji-zawadi vya wawekezaji
*Wananchi kumiliki hisa kwenye ardhi
*Kigamboni kujengwa kwa trilioni 16
HATIMAYE Serikali imeridhia kufanya mabadiliko makubwa kwenye umiliki wa ardhi kwa kuwabana wawekezaji wanaojitwalia ardhi kubwa kwa kutoa viji-zawadi vidogo vidogo kwa halmashauri, vijiji na wananchi.
Habari mpya
- Mradi wa TAZA mbioni kukamilika – Kapinga
- Serikali kuendelea Kuboresha Huduma za Afya ya Mama na Mtoto
- TMA yatoa angalizo la mvua kubwa kwa siku tano
- Tanzania yajipanga na maamuzi ya Trump kuhusu ARV
- MSD: Miaka minne ya Rais Dk Samia, amefanya mapinduzi makubwa ya uwekezaji sekta ya afya
- Dk Biteko azitaka mamlaka za maji kupunguza upotevu wa maji
- …Wadau wachambua miaka 4 ya Rais Dk. Samia madarakani
- Bunge latoa kongole utendaji ufanisi wa TPA
- UN: Majanga ya mazingira yaliwaacha wengi bila makazi 2024
- Emir wa Qatar awakutanisha Kagame, Tshisekedi
- Urusi na Ukraine zashambuliana baada ya mawasiliano ya Putin na Trump
- NFRA Yapanua Uwekezaji ,Ufanisi katika Sekta ya Mbolea Nchini
- Maendeleo Benki kutekeleza kwa vitendo huduma ya kifedha kidigitali
- Serikali yavuna bilioni 3/- ndani ya miezi mitatu
- Bunge la Ujerumani kupitisha kuzuia kikomo cha ukopaji
Copyright 2024