JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Rais Samia azipa kibarua TAKUKURU,ZAECA

Rais wa Samia Suluhu Hassan ameziagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) na Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA) kufuatilia miradi ya maendeleo iliyobainika kuwa na dosari. Rais Samia ametoa agizo hilo leo kwenye…

‘Tumuenzi hayati Nyerere kwa kupinga rushwa’

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Watanzania kumuenzi Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa vitendo ikiwemo kufanya kazi kwa bidii pamoja na kupinga vikali rushwa. Makamu wa Rais…