JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Rais Samia kuunguruma Kigoma Oktoba 16

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kigoma Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi ya siku nne mkoani Kigoma, kuanzia tarehe 16 hadi 19 mwezi huu. Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu ziara hiyo, mkuu wa mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye…