Category: Kitaifa
Serikali kurejesha ari ya usomaji vitabu nchini
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Serikali imesema itafanya jitihada za uhamasishaji wa usomaji wa vitabu nchini. Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. James Mdoe wakati akifunga tamasha la 31 la vitabu lililomalizika jana katika…