Category: Kitaifa
Wampongeza Rais Samia kuifungua Kigoma katika sekta ya ujenzi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan Oktoba 16, 2022 akiwa Wilayani Kakonko, Mkoani Kigoma amefungua rasmi barabara ya Nyakanazi- Kabingo( km.50) ikiwa imejengwa kwa takriban shilingi bilioni 43 na ujenzi wake kusimamiwa na TANROADS. Akizungumza katika ufunguzi…
Nchemba aita wawekezaji kuwekeza nchini
Na Benny Mwaipaja,Washington DC Waziri wa Fedha na Mipango,Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ametoa wito kwa wawekezaji wa kimataifa pamoja na wazawa kuchangamkia fursa za uwekezaji zinazopatikana nchini Tanzania katika sekta mbalimbali. Dkt. Nchemba ametoa wito huo mjini Washington D.C, Marekani,…
‘Nawabadilisha mawaziri lakini Biteko yupo’
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan ameeleza kuridhishwa na utendaji kazi wa Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko katika kuisimamia Sekta ya Madini. Rais Samia amempongeza Dkt. Biteko leo Oktoba 16, 2022 wakati akiwasalimu wananchi wa Runzewe…
Bodi mpya ya SBT yawaahidi Watanzania neema ya sukari
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Moshi Bodi mpya ya wakurugenzi wa Bodi ya Sukari Tanzania (SBT) imeliahidi taifa neema ya sukari ndani ya miaka mitatu ijayo huku mwenyekiti wake,Filbert Mponzi, akisema tatizo la upungufu wa bidhaa hiyo sasa linaenda kuwa historia. Mkurugenzi Mkuu…
Mwenge wafanikisha marejesho ya bil.2.2/- Kagera
Mbio za Mwenge wa uhuru mwaka 2022 zilizofikia kilele Oktoba 14,2022 mkoani Kagera,zimefanikiwa kurejesha fedha za mikopo kwa vijana kupitia mfuko wa Maendeleo ya vijana kiasi cha shilingi za kitanzania bilioni 2.2. Moja ya ajenda ya Mbio za Mwenge wa…