Category: Kitaifa
Tanzania yanadi fursa zake za uwekezaji nchini Ureno
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Dkt. Stergomena Tax amesema Serikali ya Tanzania inaendelea kuboresha mazingira ya Uwekezaji na ufanyaji biashara nchini ikiwa ni pamoja na kuzifanyia maboresho baadhi ya sheria za usimamizi wa biashara ili kuongeza…
Balozi Uholanzi aeleza umuhimu wa mabadiliko sheria ya habari
Na Stella Aron, JamhuriMedia,Dar BALOZI wa Uholanzi nchini Tanzania, Wiebe de Boer amelipongeza Jukwaa la Wahariri (TEF),kwa juhudi kubwa za kutoa elimu juu ya umuhimu wa maboresho ya sheria za habari nchini. Akifungua mafunzo kwa wahariri na wanahabari yanayoangazia uchechemuzi…
Wawekezaji Poland wanahitaji kuwekeza maeneo haya
Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax amewakaribisha wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Poland waje nchini kuwekeza katika sekta mbalimbali ikiwemo ya uchumi wa bluu na madini. Waziri Tax ameyasema hayo,wakati akihutubia mkutano uliowakutanisha wawakilishi…