Category: Kitaifa
Rais Samia asikiliza kilio cha wanasiasa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema sheria ambazo zinahitaji marekebisho madogo zitafanyiwa kazi haraka huku nyingine zitachukua muda kidogo kulingana na muda wa mchakato wa utekelezaji. Rais Samia amesema hayo leo Oktoba 21,2022 Ikuku…
Tanzania yanadi fursa zake za uwekezaji nchini Ureno
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Dkt. Stergomena Tax amesema Serikali ya Tanzania inaendelea kuboresha mazingira ya Uwekezaji na ufanyaji biashara nchini ikiwa ni pamoja na kuzifanyia maboresho baadhi ya sheria za usimamizi wa biashara ili kuongeza…
Balozi Uholanzi aeleza umuhimu wa mabadiliko sheria ya habari
Na Stella Aron, JamhuriMedia,Dar BALOZI wa Uholanzi nchini Tanzania, Wiebe de Boer amelipongeza Jukwaa la Wahariri (TEF),kwa juhudi kubwa za kutoa elimu juu ya umuhimu wa maboresho ya sheria za habari nchini. Akifungua mafunzo kwa wahariri na wanahabari yanayoangazia uchechemuzi…