JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Tanzania ina idadi ya watu milioni 61.7

Rais Samia Suluhu Hassan amezindua matokeo ya Sensa ya Watu na Mkazi kwa mwaka 2022 ambapo amesema kuwa Tanzania ina watu milioni 61, 741, 120. Akizindua matokeo ya Sensa leo Oktoba 31,2022 katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma na kuhudhuriwa…

Korea yaipatia Tanzania mkopo wa Bil.310/-

Serikali ya Jamhuri ya Korea imeipatia Tanzania mkopo wa gharama nafuu wa shilingi bilioni 310 kwa ajili ya upanuzi wa mfumo wa utambuzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) pamoja na uendelezaji na utunzaji wa mfumo wa taarifa za…

TCRA: Dar yaongoza kuwa na laini nyingi za simu za mkononi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Ripoti ya Utendaji wa Kisekta imeonesha ongezeko la asilimia 3.4 kwa laini za simu zinazotumika,ambapo hadi mwezi Juni 2022 kulikuwa na laini Milioni 56.2 idadi iliyoongezeka hadi kufikia laini milioni 58.1 Septemba 2022. Takwimu zinaonyesha kwamba mikoa…