Category: Kitaifa
Majaliwa atoa agizo kwa Wizara ya Maji, DAWASA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Maji kwa kushirikiana na sekta binafsi ihakikishe inakamilisha taratibu za utekelezaji wa mradi wa kutoa maji Mto Rufiji utakaosambaza maji katika maeneo ya mkoa wa Pwani na Dar es Salaam. Pia,Majaliwa ameielekeza Mamlaka…
Chongolo:Tanzania na Cuba zina urafiki wa kihistoria
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amesema kuwa, kupitia dhamana ya kuongoza Serikali na nchi, kitahakikisha urafiki wa muda mrefu kati ya CCM na Chama cha Kikomunisti cha Cuba (CPC) na uhusiano wa Tanzania…
Makamba:Serikali imendaa mjadala wa nishati safi ya kupikia
Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Serikali imesema imeandaa mjadala wa Nishati Safi ya Kupikia ili kuwepo na Sera, Sheria, Kanuni na Mifumo ya Udhibiti wa Nishati Chafu ya kupikia ikiwemo mkaa na kuni na kutumia nishati safi,salama na endelevu ili kusaidia uhifadhi…
Rais Samia aagiza kuundwa kikosi kazi cha kudhibiti matumizi nishati
Na Mussa Augustine,JamhuriMedia,Dar Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Nishati Kuunda kikosi kazi kitakachoshughulikia sera za nishati mbadala ili kufikia malengo ya serikali yakutumia nishati safi ya kupikia. Raisi Samia ametoa agizo hilo…