JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Polisi ‘mwizi wa magari’ afukuzwa kazi

Jeshi la Polisi limemfukuza kazi askari wake, PC Hamad Mud wa Kituo cha Polisi Sanya Juu, Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, akitajwa kuwa kinara wa mtandao wa wizi wa magari. Kwa uamuzi huo, Mud anasakwa ndani na nje ya nchi…

Malipo Polisi utata

Ikiwa ni miezi mitatu tangu Mhasibu Mkuu wa Jeshi la Polisi, Frank Msaki, asimamishwe kazi kutokana na tuhuma za kufanya malipo hewa ya posho za chakula kwa askari, JAMHURI imebaini yaliyojificha nyuma ya sakata hilo. Tuhuma hizo zilimsukuma Rais, Dk….

Polisi Dar lawamani

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limeshiriki katika kuingia kwa mabavu katika eneo la biashara la kampuni ya uuzaji mafuta ya Petrofuel (T) Limited na Isa Limited, hali ambayo ni kinyume cha utaratibu. Askari Polisi, waliotumika kuingia…

Chuo Kikuu Huria kwafukuta

Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dk.Hamza Kondo amesimamishwa kazi ya uhadhiri katika mazingira ambayo ameyataja kujaa utata na ukiukwaji wa taratibu za utumishi. Akizungumza na JAMHURI, Dk. Kondo ambaye amekuwa mhadhiri katika kitivo cha Sanaa na Sayansi za…

Kiwanda cha Polyester chawaliza wafanyakazi

Waliokuwa wafanyakazi wa kiwanda cha nguo cha Morogoro Polyester Textile cha mjini Morogoro, wameiomba Serikali kuingilia kati ili waweze kulipwa madai yao baada ya kuachishwa kazi miaka 18 iliyopita. Akizungumza na JAMHURI, Laurian Kazimilli, Mwenyekiti wa wastaafu hao, anasema miaka 18…

Kampuni za mafuta kudhibitiwa (2)

Tutakapokuwa tumewapata, katikati ya mwezi huu wa kumi tutawakutanisha tena na mabenki kwamba hizi ndizo kampuni zitakazokuwa zinashindana kuleta mafuta nchini. Hivyo watakaa na kujadili na kuelewana biashara itakwendaje kwa pamoja. Tunajua inawezekana na biashara itafanyika vizuri. JAMHURI: Mmejipangaje kukabiliana…