Category: Kitaifa
Namoto aelezea mafanikio na changamoto za wamachinga 2022
Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Chama cha Wafanyabiashara Ndogondogo Mkoa wa Dar es Salaam (KAWASO),kimeishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa jitihada za kuwaboreshea mazingira ya kufanya kazi zao ikiwemo kuwaweka kwenye mpangilio mzuri pamoja na kujenga masoko ya kisasa. Akizungumza na…
NMB yaanzisha ufunguaji akaunti ndani ya dakika mbili
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Zama mpya ya huduma za kibenki imejili nchini baada ya Benki ya NMB jana kuzindua suluhisho ya kisasa inayomwezesha mteja kufungua akaunti kidijitali na kuanza kuitumia ndani ya dakika mbili tu. Hatua hiyo kubwa inaongeza msukumo mpya…
CCM si Shwari
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Kwa muda mrefu sasa vita ya mamlaka bado inaendelea kuathiri mwenendo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku ikizidi kuchagizwa na vitendo vya fitina, uongo na uzushi. Licha ya kukemewa na hatua mbalimbali za kinidhamu na kimaadili kuchukuliwa…
CCM washauriwa kutopoteza muda kwa malumbano
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka amewataka wana CCM kutopoteza muda kwa malumbano na majibizano kwa kuwa kuna kazi muhimu mbele yao ya kujenga Chama na nchi. Amesema Rais Samia Suluhu Hassan…
FCC yawaomba wafanyabiashara kuzingatia ubora kwenye bidhaa zao
Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Tume ya Ushindani ( FCC), imetoa wito kwa Wazalishaji wa bidhaa hapa nchini kuhakikisha bidhaa zao wanazifanya ziwe na mwonekano mzuri ili kuwavutia wateja pamoja na kukabiliana na ushindani wa soko uliopo kwa sasa. Rai hiyo imetolewa…
Tanzania kunufaika na dola bilioni 1 kutoka Korea
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Korea kwa kutenga kiasi cha dola za Marekani bilioni 1 zitakazotolewa kwa njia ya mkopo nafuu kwa Tanzania kupitia Mfuko wa Shirika la Maendeleo ya Kiuchumi…