JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

ASANTE MUNGU, SASA TUNDU LISSU AFANYA MAZOEZI YA KUTEMBEA

HALI ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu inaendelea kuimarika na ameanza rasmi kufanya mazoezi ya viungo katika Hospitali ya Nairobi nchini Kenya ambako anapatiwa matibabu ya majeraha aliyoyapata baada ya kushambuliwa kwa risasi nyumbani kwake Area D, mjini Dodoma…

KAMA UMEGUSWA NA MTOTO HUYU MSAIDIE NA YEYE AENDE SHULE

Mtoto Msafiri Hassan ana umri wa miaka 12 mkazi wa Kitongoji cha Sanda Mkobani, Tarafa ya Mchinga, Lindi Vijijini ni mlemavu, hawezi kutembea hivyo anawaomba msaada wa kununuliwa kiti cha magurudumu ili aweze kwenda shule kama watoto wengine. Kama umeguswa…

PIGO: CHADEMA YAZIDI KUANGAMIA

Kwa lugha nyingine tunaweza kusema CHADEMA inazidi kuangamia kutokana na kinachoendelea ndani ya chama hicho kuondokewa na viongozi pamoja na wanachama wake kutimkia chama tawala CCM. Leo aliyekuwa M/kiti wa CHADEMA Wilaya Ngorongoro, Samweli Ole Nakumbale, aliyekuwa mgombea ubunge wa…

Hivi Ndio Viwango Vya Makato ya Kodi ya Mishahara ya Waajiriwa

MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) imefafanua kuhusu viwango vya kodi, anavyopaswa kukatwa mtu binafsi aliyeajiriwa. Akizungumza kwenye kipindi cha Kodi kwa Maendeleo kinachorushwa na Shirika la Utangazaji nchini (TBC1) wiki hii, Meneja wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi wa…

AJALI: Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida Apata Ajali ya Gari

AJALI: Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida, Juma Kilimba amepata ajali ya gari lake kupinduka leo akiwa na familia yake, mke wake na watoto wawili wamepewa rufaa. Yeye bado na watoto wawili bado wako hospital ya Wilaya Kiomboi ambapo mtoto…

Waziri Mkuu Majaliwa Avunja Mfuko wa Kuendeleza Pamba

amegiza wahusika wote wachunguzwe ili kubaini fedha walizokusanya zimetumikaje. Alitoa agizo hilo mwishoni mwa wiki (Ijumaa, Desemba 22, 2017) wakati akizungumza na wadau wa zao hilo kwenye kikao alichokiitisha mkoani Shinyanga kufanya ufuatiliaji wa maagizo ambayo alikwishakuyatoa. Waziri Mkuu alishafanya…