Category: Kitaifa
HII NDIO ZIARA YA MWENYEKITI WA CCM WILAYA UBUNGO, LUCAS MGONJA ILIVYOKUWA
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ubungo Lucas Mgonja akizungumza na viongozi wa Wilaya hiyo katika Mkutano wa ndani uliofanyika jana katika Kata ya Msigani wilayani humo, ikiwa ni sehemmu ya ziara yake ya kuimarisha uhai wa Chama. Kushoto ni Katibu…
TUNDU LISSU AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI NAIROBI
MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (CHADEMA), leo Ijumaa Januari 5, 2017 kwa mara ya kwanza tangu ajeruhiwe amezungumza na waaandishi wa habari jijini Nairobi nchini Kenya anakopatiwa na kusema kilichotokea kwake kwa maoni yake ilikuwa ni mauaji ya kisiasa…
MZEE KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA ATHUMANI MSENGI
Rais Mstaafu ya Awamu ya Nne Dr. Jakaya Kikwete akiweka udongo katika kaburi la aliyekuwa mpiga picha Mkuu wa Magazeti ya Serikali Athumani Hamisi katika maziko yaliyofanyika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam Waziri wa Habari Sanaa, Utamaduni…
RUGEMALIRA AWATAJA ‘WEZI’ WA ESCROW MAHAKAMANI
MFANYABIASHARA, James Rugemalira anayekabiliwa na kesi ya utakatishaji fedha amewataja aliodai ni wezi wa fedha za Escrow katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kama alivyosema awali kwamba anawafahamu. Watu hao amewataja mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba, baada ya…
BABU SEYA: TUNAANDAA MAMBO MAKUBWA MASHABIKI TULIENI
NGULI wa muziki wa dansi, Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanaye Jonhson Nguza ‘Papii Kocha’ kwa mara ya kwanza tangu waachiwe huru Desemba 9 kwa msamaha wa Rais John Maguuli, leo Januari 5 wamekutana na Naibu Waziri wa Habari, Sanaa,…
Tanzia: Mke wa Mzee Kingunge Afariki Dunia
MKE wa mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru, Peras Kingunge amefariki dunia leo Alhamisi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Mtoto wa Kingunge, Kinje Ngombale amethibitisha kutokea kwa msiba huo na kueleza kifo cha mama yake kimetokea wakati baba yake…