JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Benki ya Maendeleo Plc yapata faida maradufu 2022

Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Benki ya Maendeleo Plc imepata faida ya shilingi Bilioni 1.3 mwaka 2022 ukilinganisha na faida ya shilingi milioni 587 ambapo ni sawa na ongezeko la zaidi ya mara mbili ya faida hiyo. Hayo yamesemwa Jijini Dar es…

Chongolo aanza ziara Morogoro,agusia migogoro ya wakulima na wafugaji

…………………………………………………………. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Daniel Chongolo ameanza ziara ya kikazi leo Januari 28 mkoani Morogoro huku akitumia nafasi hiyo kueleza sababu za kufanya ziara hiyo ndani ya mkoa huo. Aidha amesema pamoja na mambo mengine anatambua mkoa…

Ummy:Ondoeni hofu huduma zinazotolewa Mlongonzila ni bora sana

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amepongeza Menejimenti na watumishi wote katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila kwa kuboresha ubora wa huduma za matibabu kwa wateja katika Hospitali hiyo. Waziri Ummy amesema hayo leo mara baada ya kufanya ziara katika Hospitali…

Zaidi ya Watanzania 142 wanufaika na ajira

Zaidi ya Watanzania 142 wamenufaika na ajira kupitia Meridianbet Tanzania,ikiwa ni moja ya ndoto ya kampuni hiyo inayotoa huduma za michezo ya kubashiri mtandaoni. Akizungumza katika uzinduzi wa duka la Meridianbet lililopo Mtaa wa Tandika Majaribio, Temeke, Dar es Salaam,…

Jumaa:Twendeni kwenye majukwaa tukaeleze yanayofanywa na Serikali

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Kibaha Mjumbe wa Halmashauri Kuu Chama Cha Mapinduzi Taifa (MNEC)-Wazazi ,Hamoud Jumaa amewaasa wanaCCM kujipanga kwenda majukwaani kusema makubwa yanayofanywa na Serikali ya awamu ya sita sanjali na utekelezaji wa ilani. Ameeleza ,Rais Samia Suluhu Hassan ametoa fursa…

Majaliwa:Wataalamu watumike kukibidhaisha kiswahili

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezielekeza Wizara na Taasisi zote zinazohusika na maendeleo ya lugha ya kiswahili wawatumie vema wataalamu wa lugha hiyo waliopo nchini wakiwemo kutoka Vyuo Vikuu, Mabaraza ya Kiswahili na Vyama vya Kiswahili katika kukitangaza na kukibidhaisha kiswahili…