JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Breaking News: Tazama Matokeo ya Kidato Cha Nne 2017, Yapo Hapa

BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA), latangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2017, ambapo ufaulu umepanda kwa asilimia 7.22 huku watahiniwa 265 wakifutiwa matokeo kwa udanganyifu. Orodha ya Shule 10 Bora. 1. St. Francis Girls – Mbeya 2. Feza…

MZEE MAUTO: KIONGOZI LAZIMA AWE NAMNA HII

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 31 Januari, 2018 amewajulia hali wagonjwa waliolazwa katika Hospitali ya Tumaini Jijini Dar es Salaam akiwemo muigizaji mkongwe nchini Mzee Amri Athuman, maarufu kwa jina la…

Balozi wa Ujerumani Tanzania ashiriki maadhimisho ya wahanga utawala wa Hitler

Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Dk. Detlef Waechter akizungumza na wanafunzi walioshiriki maadhimisho ya kumbukumbu ya wahanga waliopoteza maisha katika vita vya moto vilivyotokea mwaka 1933 hadi 1945 chini ya utawala wa kidikteta wa Adolf Hitler nchini Ujerumani. Ofisa Habari…

MKUTANO WA WAZIRI MAHIGA NA MWENYEJI WAKE WAZIRI KYUNG-HWA WA JAMHURI YA KOREA KUSINI

 Mheshimiwa Augustine Phillip Mahiga, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akilakiwa na mwenyeji wake Mheshimiwa Kang Kyung-hwa, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Korea, mara baada ya kuwasili ofisini kwake kwa mazungumzo ya kikazi…

PICHA MBALI MBALI UZINDUZI WA PASIPOTIMPAYA YA ELEKTRONIKI

                                                                               …

TCRA yafafanua Mtumizi ya Alama za Vidole Kwenye Usajili wa Laini

“Ndugu mteja katika kuboresha usajili wa laini za simu alama za vidole zitatumika kuanzia Februari 5, 2018. Kwa mawasiliano zaidi tembelea maduka yetu,”  ni ujumbe ambao watumiaji mbalimbali wa mitandao ya simu nchi wametumiwa kuanzia juzi kutoka katika mitandao…