JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Tambwe Hiza kuzikwa Leoa, Makaburi ya Chang’ombe, Temeke, Dar es Salaam

MWILI wa Mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Richard Tamilway maarufu kwa jina la ‘Tambwe’ aliyefariki dunia juzi asubuhi nyumbani kwake Mbagala Kizuiani, unatarajiwa kuzikwa leo Jumamosi katika Makaburi ya Temeke Chang’ombe jijini Dar es Salaam. Kaka wa…

SHEREHE YA MWAKA MPYA YA MABALOZI WA TANZANIA ALIYOIANDAA RAIS MAGUFULI

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na kuwakaribisha Mabalozi mbalimbali Ikulu jijini Dar es Salaam Ijumaa jioni Februari 9, 2018 kabla ya kuanza kwa hafla ya kukaribisha mwaka mpya kwa Mabalozi hao.  Rais wa…

TUNDU LISSU: “LEMUTUZ HUSILAZIMISHE URAFIKI USIOKUWEPO”

Kwenye ukurasa wake wa Instagram Mbunge wa Singida Kaskazi, Tundu Lissu amemtolea povu Lemutuz. Tundu lissu alisema haya “Leo (Jana) nimeonyeshwa post iliyopo kwenye Instagram account ya William Malecela aka Lemutuz. Kwenye post yake, Lemutuz amedai kwamba mimi ni rafiki…

CCM, CUF, CHADEMA WASHINDANA KUTOA AHADI KWA WAPIGA KURA WAO

Ni vuta nikuvute. Ndivyo unavyoweza kuelezea kile kinachoendelea katika kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge wa Kinondoni na Siha kwa wagombea wa CUF, CCM na CHADEMA kuchuana kuwania uwakilishi wa wananchi. Katika mikutano iliyofanyika jana kwenye maeneo tofauti, wagombea hao…

MBUNGE WA CHADEMA AKERWA NA BUNGE KUTOGHARAMIA MATIBABU YA TUNDU LISSU

Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema amehoji sababu za Bunge kutogharamia matibabu ya Tundu Lissu aliyepo nchini Ubelgiji tangu Januari 7, 2018 akipatiwa tiba ya mazoezi. Lema ametoa kauli hiyo Jana Februari 8, 2018 bungeni mjini Dodoma wakati akichangia…

‘KIBAJAJI’ ALIVYOWASHA MOTO MAGOMENI AKIMNADI MTULIA

Mbunge wa Mtera ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Livinstone Lusinde ‘Kibajaj’, akimnadi kwa wananchi mgombea wa CCM katika Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Kinondoni Said Mohamed Mtulia, katika mkutano wa kampeni uliofanyika…