Category: Kitaifa
NMB yafadhili mafunzo ya bodaboda yatakayofanyika nchini Rwanda
Benki ya NMB imefadhili ziara ya siku nne ya mafunzo kwa viongozi wa Vyama na Mashirikisho ya Wafanyabiashara Wadogo (Machinga) na waendesha bodaboda Mkoa wa Dar es Salaam, wanaoondoka nchini Jumatatu Februari 6,kwenda Kigali, Rwanda. NMB imekabidhi tiketi 12 za…
Rais Samia ataka watumishi wala rushwa wachukuliwe hatua
…………………………………………………………………………………… Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Katiba na Sheria pamoja na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kushirikiana na Wizara za kisekta kuzifanyia marekebisho sheria zote zenye mizunguko inayochelewesha kesi na upatikanaji wa…
Rais azindua Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan amezitaka Taasisi za Haki Jinai kuendesha na kusimamia haki jinai kwa kuzingatia misingi ya sheria, weledi, usawa, uadilifu pamoja na mila na desturi zetu. Rais Samia amesema hayo leo wakati akizundua…