JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

PROF. LIPUMBA AMCHANA LIVE MALIM SELF

Mwenyekiti wa CUF anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba amesema chama hicho hakina nguvu kama awali kutokana na kutoshiriki uchaguzi wa marudio Zanzibar. Akizungumza leo Februari 24, 2018 katika mkutano wa ndani na wananchama…

DK. MPANGO: WANAUCHUMI MAMBUMBU NDIO WAMETUFIKISHA HAPA TULIPO

Mkurugenzi wa Kituo Cha Uwekezaji TIC na Mwenyekiti wa Kamati Uzinduzi wa Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Wachumi Tanzania Economics Society Of Tanzania (EST) Bw. Godfrey Mwambe akipokea katiba ya Chama hicho kutoka kwa Vick Msima Meneja Msaidizi Idara ya…

DK.KAMANI AWAONYA VIONGOZI VYAMA VYA USHIRIKA NCHINI

MWENYEKITI wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika,Dk.Titus Kamani amesema Serikali kupitia tume hiyo ni awaelekeza viongozi wa Vyama vya Ushirika kutojihusisha kuuza mali za vyama hivyo pasipo kuzingatia sheria.   Hivyo amesema hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya watakaobainika…

KAIMU KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKUU WA MASUALA YA AFRIKA KUTOKA CANADA

  Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Ramadhan M. Mwinyi akizungumza na Mkurugenzi Mkuu anayeshughulikia masuala ya Kusini na Mashariki mwa Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Canada, Bw….

DK MWANJELWA AZIASA TAASISI KUIGA MFANO WA IOP, WAANZISHA SHAMBA DARASA KWA ‘SINGLE MOTHERS’ MKOANI IRINGA

  NAIBU Waziri wa Kilimo, Dk Mary Mwanjelwa akiongea machache na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Amina Masenza alipofika kwa utambulisho na kuanza ziara katika Mkoa huo Februari 23 2018. Pamoja naye (kushoto) Afisa Mtendaji Mkuu wa SAGCOT, Geoffrey…

JUHUDI ZA RAIS MAGUFULI ZAIPAISHA TANZANIA, DHIDI YA MAPAMBANO YA RUSHWA

Juhudi thabiti ya Rais John Pombe Magufuli katika masuala mbalimbali ya maendeleo ya Taifa imezidi kuleta mafanikio ambapo ripoti mpya katika mapambano dhidi ya rushwa imeonesha Rwanda na Tanzania kuongoza katika ukanda wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) katika mapambano…