JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Dkt.Tax asaini kitabu cha maombolezo ubalozi wa Uturuki

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax amesaini kitabu cha maombolezo Ubalozi wa Uturuki Jijini Dar es Salaam, kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea Uturuki tarehe 6 Februari, 2023. Baada ya kusaini kitabu cha maombolezo,…

Rais Samia awalilia waliokufa ajalini Dodoma, atoa maagizo kwa vyombo vya dola

………………………………………………………….. Watu 12 wamefariki dunia na wengine 63 wamejeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia leo Alhamisi Februari 9, 2023 wilayani Kongwa mkoani Dodoma. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amesema kuwa ajali hiyo imehusisha magari mawili…