JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

SERIKALI YA UINGEREZA YAFUATA NYAYO ZA JPM KATIKA MUSTAKABALI WA PASIPOTI ZA KIELETRONIKI

    Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Aliance News imesema kuwa kampuni ya De La Rue ilikuwa na mkataba na Uigereza wa miaka 10 lakini nchi hiyo imeamua kuvunja mkataba kati yake na kampuni hiyo. Imefahamika lengo la Serikali…

HABARI NAOMBA MPOKEE PICHA NA STORI YA MSTHIKI MEYA WA JIJI

Meya Mwita azitaka halmshauri za jiji la Dar es Salaam, kuajiri watumishi kwa ajili ya kuzika watu wasiokuwa na ndugu. MSTAHIKI Meya wa  Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita amezitaka halmashauri zote  jijini hapa  kuajiri watumishi ambao watakuwa wanafanya…

Rais Magufuli Avunja Atengua Uteuzi wa Mwenyekiti wa NHC na Kuvunja Bodi ya NHC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (National Housing Corporation – NHC) Bi. Blandina Nyoni kuanzia leo tarehe 21 Machi, 2018….

VIONGOZI WA MTANDAO WA WANFUNZI TANZANIA WAELEZE TAARIFA YA UCHUNGUZI WA ABDUL NONDO

Viongozi wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP) waelezea taarifa iliyotolea na Kamanda wa Mkoa wa Dar es Salaam juu ya Kujiteka mwenyewe Abdul Nondo na piwa watatakiwa kuonana na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI).

HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA VIJIJI YAOMBWA KUTOA TENDA KWA VIJANA WENYE VIKUNDI

HALMASHAURI ya Wilaya ya Kibaha Vijijini imeombwa kuwapatia tenda ndogondogo za ufundi vijana wenye vikundi kama ujenzi wa madarasa,ufyatuaji wa matofali,uchomeleaji wa madirisha au milango au kitu chochote,uaandaji wa chakula katika matukio mbalimbali ya halmashauri ili wajikwamue kiuchumi kwa kuwa…

WAZIRI MWAKYEMBE AWAONYA MAOFISA HABARI WA SERIKALI

Waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo Dr. Harison Mwakyembe amewaonya maofisa habari wa serikali ambao hawatangazi kazi za maendeleo zinazofanywa na serikali watachukuliwa hatua ikiwemo kufukuzwa kazi. Dr. Mwakyembe ametoa kauli hiyo wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wananchama…