Category: Kitaifa
Waziri amekabidhi nyundo kwa polisi
Baada ya ajali ya hivi karibuni mkoani Tabora iliyohusisha gari la mizigo na basi, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Mwigulu Nchemba, ametoa agizo kwa Jeshi la Polisi ambalo litawaumiza waendesha magari wengi. Kwa mujibu wa taarifa za…
Trafiki njia ya Calabash mmmh!!
Tangu Serikali ya Awamu ya Tano iingie madarakani, trafiki wamekuwa wakifanya kazi ambayo matokeo yake yamechanganyika pongezi na lawama. Mpita Njia (MN) anatambua namna watumishi hawa wanavyojitahidi kusimamia sheria za usalama barabarani na hata kufanikiwa kwa kiwango fulani kupunguza ajali-…
Tunawatukuza mno Wakenya
Napenda kusoma mawazo ya watu wengi kwenye mitandao ya kijamii. Anayetaka kujua uwezo wetu wa kufikiri, kuchambua na kuainisha mambo, huko ndiko kunakomfaa. Kuna dosari moja nakutana nayo. Mitandao ya kijamii ina mjijadala mingi ya kuitukuza Kenya na Wakenya. Si…
TAMASHA LA AMKA KIJANA, TUIJENGE IRINGA YETU LAFANA MJINI IRINGA
Mkuu wa wilaya ya Iringa Mhe. Richard Kasesela akimtambulisha mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Amina Masenza (mwenye ushungi) huku mwenyekiti wa Uzalendo Kwanza, Steve Nyerere akifuatilia kwa karibu wakati wa Tamasha la Amka Kijana, Tuijenge Iringa Yetu lililofanyika uwanja…
Aliyekuwa Mlipaji Mkuu wa Serikali afariki dunia
Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu na Mlipaji Mkuu wa Serikali wa Wizara ya Fedha na Mipango, katika Serikali ya Awamu ya Nne, Bw. Ramadhani Musa Khijjah (65), amefariki dunia alfajiri ya kuamkia Aprili 17 katika eneo la Jet Lumo, wilayani Temeke,…
TPA yaadhimisha miaka 13 kwa mafanikio makubwa
Na Mwandishi Maalum Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (Tanzania Ports Authority – TPA) inaadhimisha miaka 13 tangu kuanzishwa kwake mwaka 2005. TPA ilianzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Bunge Na. 17 ya mwaka 2004 kwa kurithi kazi za iliyokuwa…