Category: Kitaifa
Majaliwa: Marufuku kutumikisha watoto kwenye machimbo
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza Wakuu wa wilaya kwenye maeneo yenye shughuli za uchimbaji wa madini wahakikisha wanakemea vitendo vya ukatili dhidi ya watoto badala na yake watoto hao wapelekwe shule kwa ajili ya kupatiwa elimu. Majaliwa amesema kuwa kumekuwa…
Dkt.Tax asaini kitabu cha maombolezo ubalozi wa Uturuki
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax amesaini kitabu cha maombolezo Ubalozi wa Uturuki Jijini Dar es Salaam, kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea Uturuki tarehe 6 Februari, 2023. Baada ya kusaini kitabu cha maombolezo,…
Rais Samia awalilia waliokufa ajalini Dodoma, atoa maagizo kwa vyombo vya dola
………………………………………………………….. Watu 12 wamefariki dunia na wengine 63 wamejeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia leo Alhamisi Februari 9, 2023 wilayani Kongwa mkoani Dodoma. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amesema kuwa ajali hiyo imehusisha magari mawili…