JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Vigezo vilivyozingatiwa kuifanya ‘Dodoma’ kuwa jiji

Leo Alhamisi, Aprili 26, 2018 katika maadhimisho ya sherehe za miaka 54 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, tumeshuhudia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli akitangaza kuipandisha hadhi Manispaa ya Mji wa Dododma kuwa Jiji….

Siku yakimfika DPP hatafuta kesi kirahisi

Jalada la kesi ya mauji ya mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwilini, limefungwa. Uamuzi huu umetolewa na Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), Biswalo Mganga. Akwilina aliuawa kwa risasi Februari 16, mwaka huu wakati polisi walipotumia nguvu kuyadhibiti…

Rais Dkt Magufuli aipandisha hadhi Manispaa ya Dodoma kuwa Jiji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ametangaza kuipandisha hadhi Manispaa ya Mji wa Dodoma kuwa Jiji kuanzia leo Aprili 26, 2018. Rais Dkt Magufuli ameyasema hayo leo, katika shotuba yake aliyoitoa wakati wa maadhimisho ya…

MALARIA YAPUNGUA MPAKA ASILIMIA 7. 3 NCHINI.

Kasulu, Kigoma MAAMBUKIZI ya viashiria vya ugonjwa wa Malaria Nchini Tanzania yame pungua kwa Watoto chini ya miaka mitano kutoka asilimia 14.4 mwaka 2015 na kufikia asilimia 7.3 kwa Mwaka 2017 hii ni kuzigatia harakati zinazo fanywa na Wizara ya…

Makonda azua gumzo bungeni

Na Editha Majura, Dodoma Ushawishi wa wabunge wa kutaka Bunge na Serikali, kumchukulia hatua Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kutokana na hatua yake ya kuita na kusikiliza hadharani vilio vya baadhi ya wanawake waliotelekezwa na kutopewa…

Mbunge apongeza kutimuliwa Dk Machumu

*JAMHURI lilianika ukweli wote likatishwa * CAG amaliza kazi, Mpina apongezwa DAR ES SALAAM NA CLEMENT MAGEMBE Mbunge wa Mafia, Mbaraka Dau amesema amefurahishwa na hatua iliyochukuliwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina kumsimamisha kazi Meneja wa Taasisi…