JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Mbunge apongeza kutimuliwa Dk Machumu

*JAMHURI lilianika ukweli wote likatishwa * CAG amaliza kazi, Mpina apongezwa DAR ES SALAAM NA CLEMENT MAGEMBE Mbunge wa Mafia, Mbaraka Dau amesema amefurahishwa na hatua iliyochukuliwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina kumsimamisha kazi Meneja wa Taasisi…

Wakenya kukusanya ada ya maegesho Dar

URI limethibitishiwa. KAPS ilizishinda kampuni kadhaa za Kitanzania zilizoshiriki kuwania zabuni hiyo ambayo uamuzi wake ulitangazwa Septemba 13, mwaka huu. Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Sipora Liana, tayari ameiandikia KAPS Ltd barua ya kuwataarifu ushindi wao kwenye zabuni…

Serikali idhibiti ukuaji deni la Taifa

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad imeangazia mapungufu kadhaa ikiwamo kupanda kwa deni la Taifa. Profesa Assad amewasilisha ripoti hiyo bungeni na kuitolea ufafanuzi kwa umma, kupitia mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika…

Serikali Yaelezea Kuhusu wamiliki wa vibanda vinavyoonesha filamu

Wadau wa sekta ya Filamu nchini wameiomba bodi ya filamu kuona umuhimu wa kuongezea makali ya kikanuni katika kusimamia vibanda vinavyoonesha sinema nchini kwa kuzifanya kanuni maalumu za kusimamia vibanda vya sinema kuzingatia kumuwajibisha mmiliki wa eneo au kibanda husika…

Maandalizi ya sherehe ya Muungano yakamilika Haya Hapa

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma kukagua hatua iliyofikiwa katika maandalizi ya sherehe za Muungano wa Tanganyika na…

Israel Yampongeza Rais Magufuli

Serikali ya Israel imempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kwa kurejesha uhusiano unaolenga kuziimarisha nchi hizi mbili kiuchumi. Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Waziri wa Sheria wa Israel, Mhe. Ayelet…