JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Waukana Utanzania

DODOMA NA MWANDISHI WETU Watanzania 60 wameukana uraia na hivyo kuwa raia wa mataifa mengine, Bunge limeambiwa. Wakati Watanzania hao wakiukana Utanzania, wageni 135 wameomba na kupewa uraia wa Tanzania katika kipindi cha Julai, 2017 hadi Machi, mwaka huu; idadi…

Bandari ya Kigoma kiungo Maziwa Makuu

Na Mwandishi Maalum   Wiki iliyopita tuliwaletea makala ya jinsi Bandari ya Tanga ilivyo fursa muhimu kwa uchumi wa Tanzania na kwa nchi za Uganda na Sudani Kusini, pia bandari hiyo inaweza kuhudumia soko la DRC, Burundi na Rwanda kupitia…

Kigogo CCM anaswa uraia

*Anyimwa pasipoti kwenda ziarani China *Apanda vyeo na kushika nafasi nyeti nchini *Apewa maelekezo mazito kutimiza masharti *Baba aliingia Tanzania akiwa na miaka 3   NA WAANDISHI WETU, DODOMA   Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara, Samwel…

Nyerere: “Kama idadi ingekuwa ngamia, Afrika ingekuwa juu”

  Haya ni maneno aliyoyasema Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika siku ya maadhimisho ya miaka 40 ya Uhuru Ghana, jijini Accra, mwaka 1997. Alizitaka nchi za Afrika kuungana kuwa na nguvu ya kiuchumi na sauti kubwa zaidi kwani pamoja na…

AJALI: WATU 3 WAMFARIKI NA WENGINE 5 WAMEJERUHIWA KWA AJALI YA GARI, BOKO, DAR

AJALI : Watu 3 wamefariki dunia na wengine 5 wamejeruhiwa katika ajali ambayo imetokea jioni hii eneo la Boko Magengeni Manispaa ya Kinondoni ajali hiyo imehusisha magari matatu ikiwemo gari la kubebea michanga na basi la wanafunzi Mkuu wa Trafiki…

JAJI MKUU AZINDUA MAFUNZO YA UONGOZI KWA MAJAJI

Jaji Mkuu, Prof Ibrahimu Juma, akizungumza jambo katika hafla hiyo. Baadhi ya viongozi mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo. Prof Juma akizungumza na waandishi wa habari. …Akiwa na majaji katika picha ya pamoja. JAJI Mkuu  Prof Ibrahimu Juma amefungua mafunzo elekezi kwa…