Category: Kitaifa
Wasira : CCM haitakubaliana na azimio lolote litakalopitishwa na CHADEMA lenye lengo la kuvunja amani
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema kuwa chama na Serikali yake haitakubaliana na azimio lolote litakalopitishwa na Chama cha Demokrasia na Maenddeleo (CHADEMA) lenye lengo la kuvunja amani, umoja na mshikamano wa taifa. Amesema…
CCM yajivunia mafanikio yake ndani ya miaka 48
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)Fadhili Maganya amesema Chama hicho kinajivunia miaka 48 ya kuzaliwa kwake ambapo maadhimisho yake yanatarajiwa kufanyika Februari 5 mwaka huu Jijini Dodoma kwa kuanza na kongamano Februari 2…
Uzee siyo hoja, bado nina uwezo – Wasira
Chama Cha Mapinduzi kimesema hakitayumbishwa na hoja dhaifu za upinzani kuhusu maendeleo huku ikiutaka upinzani kujipanga vema kuhimili kishindo chake. Aidha, Makamu Mwenyekiti wa CCM – Bara, Stephen Wasira ametoa angalizo kwa viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)…
Lissu, Wassira patachimbika
*Ni kuhusu mabadiliko ya Katiba kuelekea Uchaguzi Mkuu *Lissu asema yuko tayari kukutana na Rais Samia kuzungumzia hilo *Wassira: Bunge linakaribia kuvunjwa, hakuna muda wa mabadiliko *Mzee Kassori akosoa yaliyofanyika Mkutano Mkuu Maalumu CCM Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es…
CCM Tabora wakunwa na uteuzi wa Rais Samia, Mwinyi
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani hapa kimeunga mkono uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa kuwapitisha Dkt Samia Suluhu Hassan, Dkt Hussein Mwinyi na Dkt Nchimbi kuwa wagombea Urais kupitia CCM mwaka huu. Pongezi hizo…
Wasira: Uamuzi wa Mkutano Mkuu umezingatia katiba ya CCM
*Awapa darasa wanaodai sababu ya CCM kupitisha wagombea urais *Asema yupo tayari kuwapa somo waifahamu vyema katiba ya chama Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema uamuzi wa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM uliomchagua…