JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

UDART wanahitaji mshindani

NA MICHAEL SARUNGI Katika siku za karibuni, pamekuwapo na usumbufu kwa abiria wanaotumia huduma inayotolewa na mabasi yaendayo haraka (UDART) kiasi cha kufikia hatua ya kutumia tiketi zinazotumiwa na wasafiri wa daladala. Ingawa wahusika wamejitahidi kutoa utetezi wao kwa kusema…

RAIS MHE. DKT MAGUFULI AHUTUBIA KATIKA SHEREHE ZA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI MEI MOSI ZILIZOFANYIKA KITAIFA MKOANI IRINGA

Matukio makubwa matano yaliyoathiri Haki za Binadamu mwaka 2017 Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa ripoti ya hali ya Haki za Binadamu kwa mwka 2017 na kuipa jina la Watu Wasiojulikana ambapo imechambua kwa undani masuala mbalimbali…

MFAHAMU MMILIKI HALISI WA KINYWAJI CHA ALIKIBA

Siku ya juzi jumapili April 29, 2018 msanii Alikiba katika sherehe ya harusi yake iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, alizindua kinywaji chake kipya kinachojulikana kama Alikiba Mofaya. Kinywaji hicho ambacho hakina kilevi na chenye kuongeza nguvu…

Bandari ya Tanga fursa muhimu kwa uchumi wa Tanzania

Katika toleo la wiki iliyopita tuliwaletea makala iliyohusu bandari ya Mtwara kwa jinsi ilivyobeba fursa ya viwanda kwa ukanda wa kusini mwa Tanzania na taifa kwa jumla. Pia bandari ya Mtwara inatarajiwa kuwa tegemeo kwa nchi jirani hasa baada ya…

RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA BARABARA YA IRINGA-DODOMA KATIKA SEHEMU YA IRINGA-MIGORI-FUFU KM 189 ILIYOKAMILIKA KUJENGWA KATIKA KIWANGO CHA LAMI

                                                                               …