JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

JAJI MKUU AZINDUA MAFUNZO YA UONGOZI KWA MAJAJI

Jaji Mkuu, Prof Ibrahimu Juma, akizungumza jambo katika hafla hiyo. Baadhi ya viongozi mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo. Prof Juma akizungumza na waandishi wa habari. …Akiwa na majaji katika picha ya pamoja. JAJI Mkuu  Prof Ibrahimu Juma amefungua mafunzo elekezi kwa…

Taarifa ya serikali kuhusu Uhaba wa bidhaa ya mafuta ya kula

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage amelieleza Bunge kuwa, kuna hazina ya kutosha ya mafuta ghafi ya kula. Kwa mujibu wa Waziri Mwijage, kwenye hifadhi ya matenki ya mafuta ghafi ya kula jijini Dar es Salaam kuna mafuta…

TANZIA: Aliyekuwa Kocha wa Yanga TANZIA: Aliyekuwa Kocha wa Yanga Jack ‘Africa’ Chamangwana afariki dunia afariki dunia

Kocha wa zamani wa Yanga, Jack ‘Africa’ Chamangwana amefariki dunia jana jioni Mei 6, 2018 baada ya kuugua ghafla na kulazwa katika Hospitali ya Malkia Elizabeth jijini Blantyre. Kocha huyo aliyefariki akiwa na umri wa miaka 61 ameripotiwa kuwa alikuwa…

WAINGEREZA WAVUTIWA KUWEKEZA SELOUS, DK. KIGWANGALLA AAGIZA KUWEKWA MAKUBALIANO YA AWALI (MOU)

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akimuagiza Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania TAWA, Dk. James Wakibara (hayuko pichani) kushirikiana na wawekezaji kutoka nchini Uingereza kuandaa mkataba wa makubaliano ya awali (MoU) ya uwekezaji katika…

Wizara ya Mambo ya Nje yajipanga kutekeleza Sera ya Uchumi wa Viwanda

Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wametakiwa kufanya kazi kwa weledi ili kutimiza malengo ya Serikali ya awamu ya tano ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda. Kauli hiyo ilitolewa leo jijini Dar Es…

RAIS DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA VIJIJI MBALIMBALI VILIVYOPO KILOMBERO WAKATI AKIWA NJIANI KUELEKEA KUFUNGUA DARAJA KUBWA LA MTO KILOMBERO LILOLOPEWA JINA NA DARAJA LA MAGUFULI

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Mang’ula kona katika Wilaya ya Kilombero wakati akiwa njiani kuelekea kufungua Daraja kubwa linalopita katika mto Kilombero (Daraja la Magufuli lenye urefu…