JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Wananchi Kyela wajitokeza kupiga kura

Wananchi wa kata ya Mwanganyanga katika mji mdogo wa Kyela, jijini Mbeya leo asubuhi Jumapili Agosti 12, 2018 wamejitokeza kupiga kura kuchagua diwani. Msimamizi wa Uchaguzi katika kata hiyo, Amos Basiri amesema vituo vyote vimefungulia saa 1 asubuhi na wananchi…

Chadema yamvua uanachama diwani wake Sumbawanga

  Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoa wa Rukwa, kimemfuta uanachama na kumvua udiwani, Dickson Mwanandenje aliyekuwa diwani wa kata ya Majengo wilaya Sumbawanga mkoani hapa. Mwenyekiti wa Chadema mkoa huo, Shadrack Malila maarufu Ikuwo amesema leo Agosti 11…

Mtatiro Ajiondoa CUF, Ajiunga CCM

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha CUF Julius Mtatiro amejivua uanachama wa chama hicho nakujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM huku akisema kuwa huu ni wakati wake wakwenda kutumia vipaji vyake kikamilifu pia kuwa balozi mkubwa wa Rais Magufuli Ndani na…

Mahakama yamuachia huru mbunge Haonga

Mahakama ya Wilaya ya Mbozi, Songwe imemuachia huru mbunge wa Mbozi (Chadema), Pascal Haonga na wenzake wawili baada ya kukutwa hawana hatia katika kesi iliyokuwa ikiwakabili. Haonga na wenzake, Wilfredy Mwalusamba (katibu wake) na Mashaka Mwampashi wameachiwa huru leo mchana…

Uingereza yaipatia Tanzania Sh307 bilioni

Serikali ya Uingereza imetoa msaada wa Sh 307.5 bilioni kwa Tanzania ikiwa ni sehemu ya kumuunga mkono Rais John Magufuli katika elimu, mapambano dhidi ya rushwa na uboreshaji huduma za afya. Msaada huo umetangazwa leo Ijumaa Agosti 10, 2018 na…

Askari wawili wahojiwa tukio la mwanahabari kupigwa

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema polisi waliokuwa zamu siku ambayo mwandishi wa habari wa Wapo Redio, Sillas Mbise alishambuliwa na askari, wameanza kuchunguzwa. Mbise anadaiwa kushambuliwa na polisi juzi Agosti 8, 2018 wakati…