Category: Kitaifa
Waandishi wa habari washinda kesi
MWANZA NA MWANDISHI WETU Mahakama ya Mkoa wa Mwanza imetupilia mbali kesi dhidi ya waandishi wa habari, Christopher Gamaina (Gazeti la Raia Mwema) na George Ramadhani (kujitegemea) waliotuhumiwa kujifanya maofisa wa Taasisi ya Utafiti wa Viuatilifu katika Nchi za…
Idadi ya wazee kuongezeka
ARUSHA NA MWANDISHI WETU Idadi ya wazee nchini Tanzania inakadiriwa kuwa asilimia 11 ya watu wote ifikapo mwaka 2050. Hali hiyo inasababishwa na ongezeko la idadi ya watu na kuboreshwa kwa huduma za afya nchini. Mratibu wa Huduma za…
Hujuma zatawala UDART, wakamatana
Na Mwandishi Wetu Polisi wanawashikilia wafanyakazi 22 wa Kampuni ya UDA Rapid Transit (UDART) inayomilikiwa na Mwenyekiti wa Simon Group, Simon Kisena, JAMHURI limebaini. Wafanyakazi hao wakiwamo wasaidizi wa karibu wa Kisena wanatajwa kuweka mfumo mbadala wa kuuza tiketi za…
Sirro ataka askari polisi kumcha Mungu
Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro amewataka askari polisi kumcha Mungu na kutenda haki. Sirro ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Septemba 29, 2018 katika mazishi ya IGP mstaafu Samuel Pundugu aliyezikwa katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam….
Dk Shein afanya uteuzi wa viongozi Zanzibar
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa viongozi wa taasisi mbalimbali za Serikali. Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana Jumamosi Septemba 29, 2018 na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi,…
JPM AMWONDOA MWENYEKITI BODI YA WAKURUGENZI WA SUMATRA
Rais Dkt. John Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) Mhandisi Dkt. John Ndunguru na kuivunja bodi hiyo kuanzia leo Septemba 24, 2018. Rais Magufuli amechukua…