JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Dkt. Tax akutana na Rais mstaafu wa Msumbiji

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Stergomena Tax amekutana na kuzungumza na Rais Mstaafu wa Msumbiji Joaquim Chisano jijini Dar es Salam. Dkt. amemshukuru Chisano kwa kukubali mwaliko wa kuja kushiriki utoaji wa Tuzo za…

Serikali yazungumzia malalamiko ya watumiaji wa bidhaa ya saruji

Serikali imezugumzia malalamiko ya watumiaji wa bidhaa ya Saruji aina ya Hauxin inayozalishwa na kiwanda cha Maweni Limestone Limited kilichopo Mkoani Tanga kuhusu upungufu wa uzito wa bidhaa hiyo. Naibu Waziri wa uwekezaji,viwanda na biashara Exaud Kigahe (Mb) ameyabainisha hayo…

Rais Samia avunja bodi ya TRC,atengeua uteuzi wa TFGA

Na Tatu Saad,JamhuriMedia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) na kufanya utenguzi katika shirika la ndege za serikali. Rais Samia amemtengua…

Makamu wa Rais azindua maandalizi ya dira 2050

……………………………………………………………………. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa rai kwa Wizara zote, Taasisi za Umma, Idara Zinazojitegemea, Wakala wa Serikali, Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa, Sekta Binafsi, Watanzania wanaoishi Ughaibuni…