Category: Kitaifa
TAKUKURU JIRIDHISHENI NA HUDUMA ZINAZOTOLEWA KWA WANANCHI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka viongozi wa TAKUKURU wajiridhishe huduma zinatolewa kwa wananchi bila ya rushwa, watakapobaini rushwa wachukue hatua. Pia, Waziri Mkuu amewataka watumishi wa umma wajiepushe na vitendo vya rushwa pamoja na matumizi mabaya ya fedha za Serikali katika…
MHASIBU WA MAPORI AREJESHWE KWENYE NAFASI YAKE-MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Meneja wa Mapori ya akiba ya Buligi, Biharamulo na Kimisi Bw. Bigilamungu Kagoma amrudishe Mhasibu wa mapori hayo Bw. Adam Kajembe katika nafasi yake. Ametoa agizo hilo baada ya Meneja wa Mapori hayo Bw. Kagoma kumuondoa…
Basi la Arusha Express, Laua Wanne , na Kujeruhi 11
Watu wanne wamefariki dunia na wengine 11 kujeruhiwa ambapo watano kati yao hali zao ni mbaya baada ya kutokea ajali ya basi la Kampuni ya Arusha Express lenye namba za usajili T 750 BYQ katika eneo la Bonga, Babati mkoani Manyara…
Humphrey Polepole Atoa limiti ya Wabunge Wanaotaka Kuhamia CCM
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole amesema wabunge wa upinzani wanaotaka kujiunga na chama hicho mwisho wa kufanya hivyo ni Disemba, 2018. Polepole ametoa kauli hiyo jana Jumapili Oktoba 7, 2018 kupitia…
Wizi wa kutisha
>>Bima feki za magari zatamalaki kila kona Dar >>Mtandao wajipenyeza Bandari, TRA, SUMATRA >>Yanayopata ajali, kuua wananchi yatelekezwa >>Kamanda wa Polisi aeleza mchongo wote ulivyo DAR ES SALAAM NA MANYERERE JACKTON Mtandao wa utapeli unaowahusisha wafanyabiashara na watendaji wakuu…