JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Dk Shein afanya uteuzi wa viongozi Zanzibar

Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa viongozi wa taasisi mbalimbali za Serikali. Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana Jumamosi Septemba 29, 2018 na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi,…

JPM AMWONDOA MWENYEKITI BODI YA WAKURUGENZI WA SUMATRA

Rais Dkt. John Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) Mhandisi Dkt. John Ndunguru na kuivunja bodi hiyo kuanzia leo Septemba 24, 2018. Rais Magufuli amechukua…

TEF watuma salamu za rambirambi, yataka elimu ya majanga iongezwe

Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limetoa salamu za pole kwa Rais John Magufuli, familia, ndugu, jamaa na marafiki waliopoteza wapendwa wao katika ajali ya Kivuko cha MV Nyerere. Salamu hizo zimetolewa leo Septemba 23,2018 na Kaimu Mwenyekiti wa Jukwaa hilo,…

Tanzania yaadhimisha miaka 51 ya madini ya Tanzanite

Kwa mara ya kwanza Tanzania imeadhimisha miaka 51 tangu kuvumbuliwa kwa madini ya kipekee ulimwenguni, Tanzanite. Maadhimisho hayo yalidogoshwa kutokana na Taifa la Tanzania kuwa katika maombolezo kwa siku tatu mfululizo kufuatia ajali ya kivuko cha Mv Nyerere Alhamisi wiki…

LISHE DUNI NA ULAJI USIOFAA NI ADUI WA MAENDELEO NCHINI-MAJALIWAPicha

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI    LISHE DUNI NA ULAJI USIOFAA NI ADUI WA MAENDELEO NCHINI-MAJALIWA *Asema ni chanzo cha magonjwa yasiyoambukiza kama saratani, kisukari na moyo  *Asisiza wananchi kuzingatia ulaji unafaa na kubadili mitindo ya maisha  …

WAZIRI MKUU AKATISHA ZIARA DODOMA, AENDA UKEREWE

WAZIR MKUU Kassim Majaliwa amekatisha ziara ya mkoa wa Dodoma na kuelekea Ukerewe Mwanza kuwafariji wananchi waliopatwa na maafa kutokana na ajali ya kivuko cha MV Nyerere. Waziri Mkuu ambaye alikuwa na ziara ya kikazi ya siku saba katika mkoa…