JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Wawekezaji wamchongea DC kwa Rais

Uamuzi wa wawekezaji wilayani Hai, Kilimanjaro kumshtaki mkuu wa wilaya (DC) hiyo kwa Rais John Magufuli umepongezwa na baadhi ya wafanyabiashara na kuonekana kuwa ni mwanzo wa kumaliza vitendo vya kunyanyaswa. DC wa Hai, Lengai ole Sabaya, anatuhumiwa na wawekezaji…

Maji ni kichocheo cha maendeleo

Wiki ya Maji ni fursa maalumu ya sekta ya maji nchini kujitathmini kwa kujilinganisha na nchi nyingine duniani katika kukabiliana na changamoto zinazoikabili sekta ya maji. Maji ni kichocheo muhimu cha maendeleo katika sekta mbalimbali za uchumi hapa nchini, ikiwemo…

Wizara ya Maji yataka wahandisi wazalendo

Serikali inaweka nguvu katika sekta ya maji ili kuhakikisha wananchi katika maeneo yote ya nchi wanapata huduma ya maji safi, salama, ya uhakika na yenye kutosheleza. Wajibu huu wa serikali inayoongozwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni kwa Watanzania wote,…

Lowassa anena

Waziri Mkuu (mstaafu), Edward Lowassa, aliyekuwa mgombea wa ushirikiano wa kisiasa wa vyama vya upinzani, maarufu kwa jina la Ukawa, amerejea CCM wiki iliyopita akitokea Chadema, ametoa neno zito. Wakati watu wengi wakijiuliza imekuwaje Lowassa, mwanasiasa aliyetoa changamoto kubwa kwa…

Rais anadanganywa ili iweje?

Mwishoni mwa mwaka jana Mpita Njia (MN) alisoma kwenye vyombo vya habari ahadi aliyopewa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais John Magufuli. MN anakumbuka vema kuwa ahadi hiyo ilitolewa na ‘wakubwa’ waliokuwa kwenye ziara mkoani Mara,…

Uamuzi mbovu wachelewesha Liganga

Serikali imepiga ‘stop’ kuendelea kwa mradi wa uchimbaji chuma cha Liganga hadi uhakiki utakapofanyika pamoja na kukamilishwa mambo kadhaa, likiwemo la kurejewa kwa mkataba husika pamoja na kuangalia masilahi ya taifa yafikie kiwango cha juu. Uchunguzi wa Gazeti la JAMHURI…