Category: Kitaifa
UVCCM Zanzibar yamshauri msajili kukifuta chama cha ACT-Wazalendo
Na Is- Haka Omar, JamhuriMedia, Zanzibar UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Zanzibar,umemshauri Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mtungi,kufuta usajili wa Chama cha ACT-Wazalendo kutokana na kufanya siasa za chuki,fitna na kumdhalilisha Rais wa Zanzibar Dk.Hussein…
Rais Samia atembelea na kukagua daraja la JP Magufuli
Muonekano wa Daraja la Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi km 3) linalounganisha Wilaya za Misungwi na Sengerema Mkoani Mwanza ambalo Ujenzi wake umefikia asilimia 75 na unatarajiwa kukamilika mwezi Februari, 2024.
Mwenyekiti CHADEMA Mbeya afutiwa uanachama
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Mbeya vijijini kimetangaza kumfutia uanachama Joseph Mwasote ‘China wa China’ ambaye ni Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Mbeya akidaiwa kuwa chanzo cha migogoro ndani ya chama hicho. Akitangaza maazimio ya Kamati…
Chongolo ahitimisha ziara yake wilayani Mufindi mkoani Iringa
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa Ndugu Daud Yasin (kulia) na Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kusini (CCM), David Mwakiposa Kihenzile pamoja na Viongozi na wanachama wengine wakitembea kwa miguu kuelekea…
UVCCM yazielekeza taasisi za kifedha, sekta binafsi kushirikiana kuinua vijana
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umezielekeza Benki na taasisi nyingine za kifedha Pamoja na sekta binafsi kushirikiana moja kwa moja na Wizara ya kilimo katika kuhakikisha vijana wa kitanzania wanapata mitaji, masoko…