JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

UVCCM Zanzibar yamshauri msajili kukifuta chama cha ACT-Wazalendo

Na Is- Haka Omar, JamhuriMedia, Zanzibar UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Zanzibar,umemshauri Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mtungi,kufuta usajili wa Chama cha ACT-Wazalendo kutokana na kufanya siasa za chuki,fitna na kumdhalilisha Rais wa Zanzibar Dk.Hussein…

Rais Samia atembelea na kukagua daraja la JP Magufuli

Muonekano wa Daraja la Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi km 3) linalounganisha Wilaya za Misungwi na Sengerema Mkoani Mwanza ambalo Ujenzi wake umefikia  asilimia 75 na unatarajiwa kukamilika mwezi Februari, 2024. 

Mwenyekiti CHADEMA Mbeya afutiwa uanachama

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Mbeya vijijini kimetangaza kumfutia uanachama Joseph Mwasote ‘China wa China’ ambaye ni Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Mbeya akidaiwa kuwa chanzo cha migogoro ndani ya chama hicho. Akitangaza maazimio ya Kamati…

Chongolo ahitimisha ziara yake wilayani Mufindi mkoani Iringa

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa Ndugu Daud Yasin (kulia) na Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kusini (CCM), David Mwakiposa Kihenzile pamoja na Viongozi na wanachama wengine wakitembea kwa miguu kuelekea…

UVCCM yazielekeza taasisi za kifedha, sekta binafsi kushirikiana kuinua vijana

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umezielekeza Benki na taasisi nyingine za kifedha Pamoja na sekta binafsi kushirikiana moja kwa moja na Wizara ya kilimo katika kuhakikisha vijana wa kitanzania wanapata mitaji, masoko…