Category: Kitaifa
Halmashauri ya Mkuranga kupandishwa kizimbani
Zaidi ya wakazi 1,100 kutoka wilayani Mkuranga mkoani Pwani wameruhusiwa na Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi kuishitaki Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga iliyogawa ekari 750 za ardhi yao kwa mwekezaji. Wakiwakilishwa na wenzao saba, wananchi hao 1,119 walikwenda mahakamani kudai…
Benki zisaidie wananchi kujikwamua kiuchumi – Wadau
Pamoja na kutoa mchango mkubwa katika ujenzi wa uchumi imara, benki zinazofanya biashara hapa nchini zimetakiwa pia kuchangia zaidi kwenye maendeleo binafsi ya Watanzania kupitia huduma bora na kuwekeza vyakutosha katika shughuli za kijamii. Kwa mujibu wa wadau mbalimbali, benki…
Uzembe wa Serikali wapoteza bil. 1.3/-
Uzembe wa serikali kushindwa kutangaza kwenye gazeti lake makubaliano na kampuni ya kigeni kuhusu msamaha wa kodi uliotolewa kwa kampuni hiyo umezua mzozo wa kodi inayozidi Sh bilioni 1.3. Mzozo huo unatokana na hatua ya serikali kuipa taasisi hiyo msamaha…
Mifuko mbadala isiyokuwa na ubora yaingizwa nchini
Wazalishaji wakubwa wa mifuko mbadala mkoani Kilimanjaro wameingiwa hofu ya kushindwa kufanya biashara yenye ushindani kutokana na wimbi kubwa la shehena ya mifuko hiyo isiyokuwa na ubora kuingizwa nchini kwa kasi kupitia njia za magendo na kuingizwa sokoni bila kulipiwa…
Matumizi simu miezi 6 yazidi Sh trilioni 2.5
Matumizi ya simu, hasa za mikononi kwa ajili ya mawasiliano yamezidi kuimarika huku kampuni zinazotoa huduma hiyo nchini zikitengeneza fedha nyingi na kuifanya biashara hiyo kuwa miongoni mwa zile zenye faida kubwa nchini. Takwimu rasmi zinaonyesha kuwa katika kipindi cha…
Wanaswa uhujumu uchumi
Kikosi Kazi maalumu kilichoundwa na Ofisi ya Waziri Mkuu kimebaini ukwepaji kodi unaokisiwa kufikia Sh bilioni 10 katika kampuni sita za bilionea Mmarekani, Friedkin, zinazojihusisha na sekta ya utalii nchini, JAMHURI linathibitisha. Kwa tuhuma hizo, wakurugenzi wa kampuni hiyo wanakabiliwa…