JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Profesa Tibaijuka atema mil. 1,600/- za Rugemalira

Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka (69), yuko tayari kurejesha Sh bilioni 1.6 alizopewa na James Rugemalira ili zimsaidie mfanyabiashara huyo atoke rumande. Profesa Tibaijuka alikuwa miongoni mwa wanufaika wa mabilioni ya shilingi ‘yaliyomwagwa’ na Rugemalira aliyezipata kutoka kwenye…

DED amaliza mgogoro wa ardhi Pugu

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Jumanne Shauri, ametoa uamuzi juu ya mgogoro wa ardhi unaoendelea katika eneo la Pugu Bombani, Dar es Salaam na kuwapa ushindi wafanyabiashara ndogo ndogo. Mkurugenzi Shauri ameliambia JAMHURI kuwa mgogoro huo tayari wameumaliza na eneo…

Kesi ya Luwongo wiki ijayo

Kesi inayomkabili mfanyabiashara, Khamis Said, maarufu Meshack (38), anayetuhumiwa kumuua mkewe, Naomi Marijani, imepigwa tarehe hadi Oktoba 7, mwaka huu kutokana na kutokamilika kwa upelelezi.  Wakili Mwandamizi wa Serikali, Wankyo Simon, amemweleza Hakimu Mkazi, Salum Ally, mbele ya mahakama kuwa…

Serikali yaongeza vifaa tiba MOI

Hospitali ya Taifa Muhimbili kitengo cha magonjwa ya mifupa (MOI) kinatarajia kufungua maabara kubwa ya kisasa kwa ajili ya upasuaji wa mishipa ya ubongo. Kitaalamu maabara hiyo inafahamika kama ANGIO-SUITE, itakayogharimu Sh bilioni 7.9. Mkurugenzi wa hospitali hiyo, Dk. Respicious…

TARURA yavijunia barabara Dar

Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini (TARURA) Mkoa wa Dar es Salaam umeamua kuboresha viwango vya ubora wa barabara zake katika mitaa. Akizungumza na Gazeti la JAMHURI, Mratibu wa TARURA Mkoa wa Dar es Salaam, Mhandisi George Tarimo, amesema wameamua…

Nani kuchomoka?

Uamuzi wa Rais John Magufuli, wa kuwataka Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) na Wakili Mkuu wa Serikali (SG) kupitia kesi za watuhumiwa wa makosa ya uhujumu uchumi na utakatishaji ili kuwaachia huru walio tayari kurejesha fedha, umepokewa kwa shangwe kubwa…