JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

ANNA WATIKU NYERERE

Binti mkubwa wa Mwalimu Nyerere asiye na makuu   Nimepanda daladala eneo la Posta, Dar es Salaam nikienda Kawe. Muda ni jioni, na kwa sababu hiyo abiria tumebanana kweli kweli. Tunapofika katika kituo cha Palm Beach, kondakta anamtaka dereva asimamishe…

TALGWU yapambana na malimbikizo ya mishahara

Katibu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) Mkoa wa Dar es Salaam, Ibrahim Zambi, ameiomba Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kuwabadilishia mishahara wanachama wake waliopandishwa madaraja katika mkoa huo. Zambi amedai tangu…

Mwendokasi mwarobaini chupa za plastiki

Shirika la Misaada la Uingereza (UKAID) kwa kushirikiana na Benki ya Dunia wamezindua kampeni ya matangazo ya mwezi mmoja kuhamasisha jamii mbinu za kukabili mafuriko. Kampeni hiyo itakayohusisha mradi wa mabasi yaendayo haraka (UDART), imezinduliwa katika kituo cha mabasi yaendayo…

Singasinga ‘anyooka’

Sethi na Rugemarila wanakabiliwa na mashitaka 12 ya uhujumu uchumi, ikiwamo kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi nyaraka, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu, kutakatisha fedha na kuisababishia serikali hasara ya dola za Marekani  22, 198,544.60 na…

Ardhi Temeke kikwazo

Zaidi ya kesi 100 za migogoro ya ardhi zimekwama kutolewa hukumu katika Baraza la Ardhi Wilaya ya Temeke kwa sababu ya kukosa printer na vifaa vingine muhimu. Akizungumza na Gazeti la JAMHURI, mmoja wa walalamikaji hao, Aidan Amon, ambaye ni miongoni mwa…

‘Ukipita mwendokasi jela’

Wewe ni dereva? Umewahi kuendesha gari lako binafsi au pikipiki kwenye barabara ya mwendokasi? Sasa Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam limeanza kufanya operesheni ya kuwakamata na kuwafikisha mahakamani wote wanaokiuka taratibu. Akizungumza na Gazeti la JAMHURI, Kamanda wa…