Category: Kitaifa
Dk. Shein: Tutaendelea kushirikiana na China
Zanzibar imeihakikishia China kwamba itaendelea kuthamini uhusiano na ushirikiano uliopo kati ya nchi hizo mbili pamoja na Chama cha Kikomunisti cha China (CPC). Hayo yamesemwa na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein, wakati alipofanya mazungumzo na Naibu Waziri wa…
Ufisadi aliouona Muhandiki KCU 1990 Ltd wadhihirika
Misemo ya wahenga ina mengi ya kufundisha, na mingi hutabiri yanayotokea kwenye jamii. Mfano, msemo kwamba panapofuka moshi chini kuna moto, una maana yake. Msemo huo umejionyesha ndani ya Chama Kikuu cha Ushirika mkoani Kagera, KCU (1990) Ltd baada ya mwanachama…
Naibu Waziri acharukia mashamba pori
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Angelina Mabula, amezitaka idara za Ardhi katika halmashauri nchini kuyabaini mashamba yote yasiyoendelezwa (mashamba pori) na kupeleka wizarani mapendekezo ya kufutwa kwa hati zake. Dk. Mabula amesema hayo wiki iliyopita…
Benki kubwa sasa nazo zajipanga kimkakati
Benki kubwa mbili nchini zimetenga mabilioni ya shilingi kwa ajili ya kusaidia utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati inayotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Tano na zimesema zimejipanga vizuri kuchangia kikamilifu ujenzi wa uchumi wa viwanda. Moja ya benki hizo,…
Uchumi wa nchi uko imara – Majaliwa
Tanzania imeelezwa kuwa na uchumi imara unaoendelea kukua vizuri chini ya Serikali ya Awamu ya Tano, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametanabaisha. Kwa mujibu wa waziri mkuu, uimara huo ni kati ya sababu lukuki zinazoifanya Tanzania kuwa chaguo la wawekezaji na…
Polisi wamtapeli kachero mstaafu
Maofisa wa Jeshi la Polisi nchini wasio waaminifu wamekula njama na kumwingiza matatani kachero mstaafu, Thomas Njama, ambaye kwa michezo yao ameshindwa kulipwa mafao yake Sh 47,162,559 tangu mwaka 2015, JAMHURI linathibitisha. Njama anapigwa danadana kama ‘kibaka’ wakati amelitumikia Jeshi…