JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Kukosa umoja chanzo miradi mibovu ya maji

Hali ya miradi ya maji inayozinduliwa nchini mingi kutotoa maji ipasavyo inaelezwa kuchangiwa na mipango mibovu pamoja na ushirikiano hafifu baina ya wataalamu, hasa wahandisi wakati wa utekelezaji. Hayo yamebainishwa na Msajili wa Bodi ya Wahandisi nchini (ERB), Mhandisi Patrick…

Mwisho wa kusajili laini ni Desemba 31, TCRA yasisitiza

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesisitiza kuwa mwisho wa zoezi la kusajili laini za simu kwa kutumia alama za vidole ni Desemba 31, mwaka huu. Msisitizo huo unatokana na kuwepo kwa taarifa kwamba serikali kupitia Waziri wa Mambo ya Ndani…

Ofisa Afya alia na Tume ya Utumishi

Ofisa Afya mstaafu, Joseph Ndimugwanko, ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Buhororo wilayani Ngara anailalamikia Tume ya Utumishi wa Umma kwa madai ya kutomtendea haki katika rufaa yake ya Agosti 20, 2014 ya kupinga kufukuzwa kazi. Ndimugwanko alifukuzwa kazi Julai…

Msafara wa Magufuli una mambo mengi

Usidhani kuwa Rais John Magufuli anapopanga kutembelea eneo fulani katika ziara zake wanaohusika katika misafara yake ni viongozi wa serikali pekee.  Wakati maofisa wakiandaa safari hizo, wapo watu wengine kwa mamia ambao nao hujiandaa kwenda katika ziara hizo kwa malengo…

Madeni yaitesa dunia, la Tanzania lafika trilioni 65/-

Ingawa deni la taifa limeongezeka maradufu miaka ya hivi karibuni na kufikia Sh trilioni 65 miezi mitatu iliyopita, ukubwa wake bado si hatarishi na si mzigo kwa taifa kama ilivyo sehemu nyingine duniani ambako madeni sasa ni tishio la ustawi…

Kampuni za bilionea Friedkin zaminywa

Mbinu za ukwepaji kodi unavyofanywa na kampuni za bilionea Mmarekani, Friedkin, zinazidi kufichuka baada ya kubainika kuwa kwa miaka zaidi ya 30 serikali imekoseshwa mabilioni ya shilingi kupitia udanganyifu kwenye mishahara. Akaunti maalumu kwa mpango huo zimefunguliwa ughaibuni na kutumika…