JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Bilionea Friedkin atandikwa bil. 80/

ARUSHA NA MWANDISHI WETU Kampuni za bilionea raia wa Marekani, Dan Friedkin, zinazotikiswa na ukwepaji kodi, rushwa na uhujumu uchumi, zimekiri kuwa zinachunguzwa. Hayo yakiendelea, imebainika kuwa kwa miaka 30 kampuni hizo hazijawahi kutangaza kupata faida; jambo linalotia shaka na…

Polisi Stakishari katika mgogoro wa baa

DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU   Mgogoro wa kibiashara baina ya wajasiriamali wawili, Jesca Kikumbi na Tausi John wote wa jijini Dar es Salaam umewaingiza baadhi ya askari kutoka Kituo cha Polisi cha Ukonga Stakishari kwenye kashfa ya kuihujumu…

Shonza: Tumieni ujuzi wenu kutengeneza ajira

DAR ES SALAAM NA REGINA GOYAYI (DSJ) Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza, amewataka wahitimu wa kozi za uandishi wa habari nchini kuutumia ujuzi walioupata kwa weledi ili waweze kudumu katika ajira. Akizungumza katika Mahafali ya…

Mwenyekiti kizimbani kwa rushwa

Na Aziza Nangwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga, Juma Abed, ametinga mahakamani akikabiliwa na mashitaka mawili ya kushawishi na kupokea rushwa. Mwendesha Mashitaka wa TAKUKURU, Euphrazia Kakiko, amesema wakati akisoma mashitaka dhidi ya mwenyekiti huyo kuwa mtuhumiwa Januari…

Ofisa wa Jeshi ajitosa kutetea wapagazi

MOSHI NA CHARLES NDAGULLA Kilio cha masilahi duni kwa wapagazi katika Mlima Kilimanjaro kimeendelea kusikika kwa makundi mbalimbali yanayopanda mlima huo mrefu kuliko yote barani Afrika. Safari hii Kanali Machera Machera wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ameungana na…

Matumizi ya intaneti kupitia simu yaongezeka

DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Mapinduzi makubwa ya kimfumo na uwekezaji wa kutosha kwenye teknolojia mpya kumesaidia kupanua upatikanaji wa huduma za intaneti nchini katika kipindi cha muongo mmoja. Takwimu za kisekta zinaonyesha kuwa miaka kumi iliyopita watumiaji wa…