JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Wakulima korosho Mkuranga bado waidai Serikali

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega, ameiomba Wizara ya Kilimo kuhakikisha inawalipa deni la Sh bilioni 5 wakulima wa korosho mkoani Pwani ambao hawajalipwa baada ya kuuza korosho zao msimu uliopita. Ulega amesema hayo wakati wa mkutano wa…

Polisi haijachukua hatua kifo cha kemikali

Polisi wilayani Kisarawe, mkoani Pwani hawajachukua hatua yoyote kuhusiana na kifo cha mtu mmoja na wengine kujeruhiwa baada ya kunywa pombe iliyotokana na kemikali. Siku kadhaa zilizopita JAMHURI liliripoti tukio la Mwalimu Ladislaus Mkama, mtaalamu wa kemia katika Shule ya…

TASAC yawakumbuka walemavu Nduguni

Wakala wa Meli Tanzania (TASAC) wametoa vifaa vyenye jumla ya Sh milioni 10 kwa kikundi cha watu wenye ulemavu cha Tanzanite Disabled Group Art cha Kata ya Nduguni, mkoani Dar es Salaam. Akizungumza wakati wa kukabidhi vifaa hivyo, Mkurugenzi wa…

Kisarawe wanufaika na kampeni ya afya

Jopo la madaktari kutoka mikoa ya Pwani na Dar es Salaam wakiongozwa na Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Dk. Stanford Mwakatage, wamefanya kampeni maalumu ya kutoa matibabu na upasuaji kwa gharama nafuu kwa wananchi wa wilaya hiyo. Dk. Mwakatage…

Miaka minne ya machozi, jasho na damu Chadema

DAR ES SALAAM NA ALEX KAZENGA Uchaguzi wa ndani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) uliokamilika wiki iliyopita umekipatia chama hicho safu ya uongozi katika ngazi zote huku Mwenyekiti wake wa taifa, Freeman Mbowe, akiapa kuendeleza mapambano ya kisiasa…

Ripoti yafichua ufisadi wa kutisha jumuiya ya watumia maji

MOSHI NA CHARLES NDAGULLA   Ripoti ya ukaguzi maalumu uliofanywa na wakaguzi wanane kutoka Ofisi ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro kwenye Jumuiya ya Watumiaji Maji ya Kirua Kahe (KKGWST), imefichua mambo ya ajabu, ukiwamo ufisadi na mkandarasi kulipwa…