JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Diwani aghushi hati ya kiwanja, alamba mkopo milioni 3.3/-

Diwani wa Viti Maalumu (Chadema), Jasimin Meena, anatuhumiwa kughushi nyaraka zilizomwezesha kujipatia mkopo wa Sh milioni 3.3 kutoka taasisi moja ya fedha ijulikanayo kwa jina la Heritage Financing, Tawi la Moshi. Kwa mujibu wa nyaraka ambazo JAMHURI linazo, diwani huyo…

TET, JWTZ wasambaza vitabu Dar

Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa magari ambayo yatatumika kusafirisha vitabu vya kiada na kuvisambaza katika halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam chini ya mpango mpya uliobuniwa na kuzinduliwa hivi karibuni na Taasisi ya Elimu Tanzania (TET). Akizungumza…

Hofu vyombo vya habari mitandaoni yatanda kuelekea Uchaguzi Mkuu

Wadau wa vyombo vya habari wameonyesha wasiwasi wao juu ya wingi wa vyombo vya habari vya mtandaoni visivyo na wahariri na kutoa tahadhari iwapo visipodhibitiwa vinaweza kusababisha makosa ya kimaadili katika Uchaguzi Mkuu ujayo na pengine kuwa chanzo cha uvunjifu…

Watumia laini za simu kuukwaa uraia

Wahamiaji haramu na walowezi wanaoishi hapa nchini wanatumia mwanya wa usajili wa laini za simu wa ‘mwendokasi’ kujipatia vitambulisho vya taifa, JAMHURI limebaini.  Hali hiyo imeelezwa kuwapo katika mikoa ya pembezoni mwa nchi, na tayari malalamiko kadhaa yamekwisha kupelekwa kwenye…

Barrick kupunguza wafanyakazi 110 North Mara

Baada ya kukamilisha zoezi la kuimiliki Kampuni ya Acacia Mining, Barrick Gold Corporation ya Canada imeanza kutekeleza mikakati mipya ya kuiendesha migodi iliyokuwa ikisimamiwa na kampuni hiyo, ukiwemo ule wa North Mara uliopo wilayani Tarime. Mikakati hiyo inayolenga kuongeza ufanisi…

Biashara na Qatar yaongezeka maradufu

Mwaka 2012, biashara kati ya Tanzania na Qatar ilikuwa dola milioni 1.24 za Marekani, lakini miaka sita baadaye ilikuwa imeshamiri na kuongezeka takriban mara 31 hadi kufikia dola milioni 38.23 huku taifa hilo tajiri la Mashariki ya Kati likiwa ndilo…