JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Wananchi wawakataa watendaji mbele ya DC

Wakazi wa Kijiji cha Picha ya Ndege wilayani Mkuranga, Mkoa wa Pwani wamemtaka Mkuu wa Wilaya (DC) hiyo, Filberto Sanga, kuwachukua watendaji wa kijiji hicho na kuwapangia kazi sehemu nyingine. Kauli hiyo ilitolewa na mmoja wa wakazi wa kijiji hicho,…

Ofisa Mtendaji ajeruhiwa kwa mkuki

Mtendaji wa Kijiji cha Vuchama Ndambwe, Jeremiah Daniel, amepigwa na kujeruhiwa kwa mkuki akiwa katika utekelezaji wa majukumu ya kiserikali na mkazi wa kijiji hicho anayetambulika kwa jina la Rashid Juma. Tukio hilo limetokea wiki iliyopita nyumbani kwa mtuhumiwa wakati…

Tanzania bado yasuasua matumizi ya 4G

Wakati dunia ikiingia kwenye teknolojia mpya ya 5G katika intaneti ambayo tayari imeshafanyiwa majaribio kwenye baadhi ya nchi, Tanzania bado inasusua kwenye matumizi ya teknolojia ya nyuma yake ya 4G na kusambaza mitandao inayowezeshwa na masafa hayo yaliyoanza kutumika mwaka…

Simbachawene awasulubu NIDA

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, ‘amewatoa jasho’ viongozi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) katika mkutano uliofanyika jijini Dodoma, Ijumaa iliyopita, JAMHURI limefahamishwa. Waziri Simbachawene ametaka maelezo ya kina kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa NIDA,…

Mvua zaharibu barabara Ilala, Kinondoni

Mvua zilizonyesha kwa wiki kadhaa zimesababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu ya barabara na madaraja katika Mkoa wa Dar es Salaam hasa katika wilaya za Kinondoni na Ilala. Ziara zilizofanywa na gazeti hili katika maeneo kadhaa katika Mkoa wa Dar es…

Serikali imo gizani katazo la Marekani

Takribani wiki mbili baada ya Marekani kuiingiza Tanzania katika orodha ya nchi ambazo wahamiaji wake hawaruhusiwi kuingia nchini humo, Serikali imesema bado haijapata taarifa rasmi kuhusiana na suala hilo. Aidha, Serikali imesema pia haijapata taarifa zozote kuhusiana na katazo la…