JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

IMF, AfDB wakosoa sera za uchumi Zimbabwe

Taasisi mbili kubwa za fedha duniani zimepinga sera ambazo Zimbabwe imeamua kuzitumia kufufua uchumi wake. Taasisi hizo, Shirika la Fedha Ulimwenguni (IMF) na Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB), zimesema Zimbabwe inahitaji kufanya mambo mengine mengi zaidi ya sera hizo iwapo…

Uchunguzi mkali NIDA

Tume tatu zimeundwa kuchunguza ubadhirifu, utendaji, utoaji vitambulisho kwa watu wasio raia na mwenendo wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), uchunguzi wa JAMHURI umebaini. Katika hali ya kushtua, mfanyakazi wa NIDA (jina linahifadhiwa) ambaye ni mke wa mmoja wa…

Wakopeshaji matapeli ‘wawapiga’ walimu bilioni 1.3/-

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Mara inaendesha uchunguzi dhidi ya mataeli ambao wamewakopesha watumishi wa umma fedha kwa riba kubwa na kuzalisha mafia yanayofikia Sh bilioni 1.3. Mkuu wa Takukuru Mkoani Mara, Alex Kuhanda ameliambia JAMHURI…

Wafanyabiashara Soko la Kariakoo watoa tahadhari

Wafanyabiashara wa masoko ya Mchikichini na Kariakoo wameonya kuwa kuna uwezekano mkubwa wa bidhaa zinazouzwa kwa wingi katika maeneo hayo kupanda bei maradufu kutokana na uhaba wa bidhaa hizo ulioanza kujitokeza. Kwa kiasi kikubwa maeneo hayo ni maarufu kwa biashara…

Tanzania kutoa hati ya madini

Serikali imefanikiwa kutimiza masharti ya itifaki namba tano ya azimio la Dar es Salaam la mwaka 2004 inayoweka utaratibu mzuri wa matumizi ya rasilimali, ikiwemo uchimbaji, uchakataji, usafirishaji na uuzaji wa madini. Kutokana na kutekeleza masharti hayo, Tanzania sasa inaruhusiwa…

Kitambulisho cha Taifa kuunganishwa na kadi ya mpiga kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inajipanga kuingiza taarifa za daftari la kudumu la wapiga kura kwenye mfumo wa Kitambulisho cha Taifa ili ifikapo mwaka 2025 kitambulisho hicho kitumike kupigia kura. Mpango huo umebainishwa na Mkurugenzi wa Habari na Elimu…