JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Msalaba Mwekundu ‘shamba la bibi’

Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania (TRCS), kinakabiliwa na tuhuma za kulindana, kupeana na kupandishana vyeo kiholela, upendeleo, wafanyakazi hewa, kutolipa kodi kwa muda na kuajiri wataalamu wasio na sifa.  Kuna mkanganyiko wa muda mrefu wa nani hasa mwangalizi wa Chama…

Wajasiriamali ‘waliteka’ jiji

Vitambulisho vya wajasiriamali vilivyotolewa na Rais Dk. John Magufuli mwaka jana vimeyageuza maeneo mengi katikati ya Jiji la Dar es Salaam kuwa masoko yasiyo rasmi, JAMHURI limebaini. Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI na kuthibitishwa na baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya…

Hofu parachichi kuipiku kahawa K’njaro

Serikali imeitaka jamii kuhakikisha inapinga ukatili wa aina zote ili kufikia malengo ya kuwa na kizazi chenye usawa kati ya wanawake na wanaume. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini katika Wizara ya Afya, Idara Kuu ya Maendeleo…

Serikali yajipanga kumwinua mwanamke

Serikali imeitaka jamii kuhakikisha inapinga ukatili wa aina zote ili kufikia malengo ya kuwa na kizazi chenye usawa kati ya wanawake na wanaume. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini katika Wizara ya Afya, Idara Kuu ya Maendeleo…

Serikali yaanika mikakati ya kukabiliana na corona

Tanzania imeanza kuchukua hatua madhubuti kuweka mikakati itakayoiwezesha kukabiliana na mlipuko wa virusi vya corona iwapo utatokea nchini. Mikakati hiyo imebainishwa wiki iliyopita na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu. Pamoja na kueleza yaliyofanywa…

Dhahabu, almasi nchini zaongezeka thamani

Thamani ya dhahabu na almasi zilizozalishwa nchini mwaka jana na kampuni kubwa zinazochimba madini hayo nchini iliongezeka kwa dola milioni 55.5 za Marekani ukilinganisha na kiasi kilichopatikana mwaka 2018. Kwa mujibu wa takwimu mpya za Benki Kuu ya Tanzania (BoT),…