JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Kamati yaibua mengi Lodhia, Tanesco

Wananchi wilayani Mkuranga wameutupia lawama uongozi wa Kiwanda cha Nondo cha Lodhia wakidai kunyanyasa wafanyakazi na kutokuwa na ushirikiano kwa jamii inayokizunguka. Wakizungumza mbele ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Subira Mgalu, hivi karibuni, wananchi ambao miongoni mwao ni…

Waziri Simbachawene awanyoosha NIDA

Siku chache baada ya Gazeti la JAMHURI kuchapisha habari za uchunguzi kuhusu ulegelege wa Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA) kushindwa kufanya kazi ya kutoa vitambulisho vya uraia inavyotakiwa kutokana na kuharibika kwa mitambo na hujuma za baadhi ya watumishi, Waziri…

Wafanyabiashara walikimbia Soko la Buguruni

Zaidi ya wafanyabiashara 500 katika Soko la Buguruni katika Manispaa ya Ilala wamelikimbia soko hilo kutokana na changamoto mbalimbali, ikiwemo kutokuwepo kwa usafiri wa uhakikika kwa wateja na miundombinu mibovu wakati wa mvua. Akizungumza na JAMHURI hivi karibuni, Katibu wa…

Tanzania yaungana na dunia kukabili corona

Tanzania imechukua hatua ya kusitisha safari za ndege za kimataifa kama sehemu ya jitihada zinazochukuliwa na nchi nyingi duniani kukabiliana na kuenea kwa kasi kwa virusi vya corona (COVID-19). Mashirika mbalimbali ya ndege ulimwenguni yamesitisha safari zao kwa lengo la…

Daktari bingwa aanzisha mtandao wa kuelimisha wazazi

Daktari bingwa wa watoto katika Hospitali ya Regency jijini Dar es Salaam, Rahim Damji, ameanzisha mtandao wa kutoa ushauri na elimu ya afya ambao umewasaidia wazazi wengi kuokoa maisha ya watoto wao. Akizungumza na JAMHURI hivi kaibuni, Dk. Damji, amesema…

Bodi ya Korosho yatakiwa kulipa 16m/-

Bodi ya Korosho imetakiwa kulipa haraka deni la Sh milioni 16 kwa Kijiji cha Kimanzichana Kaskazini, wilayani Mkuranga katika Mkoa wa Pwani baada ya kukodi ghala la kijiji hicho kwa ajili ya kuhifadhi pembejeo za korosho. Agizo hilo limetolewa hivi…