JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Siri imefichuka

*JAMHURI latonywa jinsi mtandao ulivyofanya kazi *Wastani wa vibali feki 500 hutolewa kila mwezi mipakani *Mabilioni ya fedha yachotwa kati ya 2015 – 2020 *Maofisa Uhamiaji waadilifu waadhibiwa, wafukuzwa *Waliomgalagaza raia na kumtesa wasimamishwa kazi DAR ES SALAAM Na Mwandishi…

Rungu la Majaliwa latua Hazina

*‘Wajanja’ walamba Sh milioni 400 kwa siku ‘kwa kazi maalumu’ DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi maofisa wa ngazi za juu wa Wizara ya Fedha na Mipango wakikabiliwa na tuhuma za ubadhirifu wa fedha…

BoT yawaondoa hofu wananchi

DAR ES SALAAM Na Costantine Muganyizi Licha ya kuwapo changamoto hasa za kibiashara zinazotokana na athari za janga la virusi vya corona duniani, mwenendo wa uchumi wa taifa unaridhisha na kuleta matumaini ya kuzidi kuimarika kuanzia mwaka huu. Hiyo ni…

Malima aonya usafirishaji binadamu

TANGA Na Oscar Assenga Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Adam Malima, amewatumia salamu mawakala wa wahamiaji haramu ambao wanautumia mkoa huo kuwapitisha na wale wanaopitisha dawa za kulevya, akionya wasijaribu kufanya hivyo, maana watakachokutana nacho kitakuwa historia kwao. Malima ameyasema…

TASAF yajipanga kuongeza umakini

KATAVI Na Walter Mguluchuma Mfuko wa Maendeleo na Hifadhi ya Jamii (TASAF) umeandaa mkakati makini katika kuwabaini wanufaika halali wa mfuko huo. Akizungumza wakati wa kikao kazi cha kuwajengea uelewa wawezeshaji na madiwani wa Halmashauri ya Mpimbwe, mkoani Katavi, Ofisa…

Oxfarm: Kilimo kitaondoa umaskini

DAR ES SALAAM Na Pawa Lufunga Shirika la Oxfarm Tanzania limewaasa wadau wa maendeleo nchini kuweka kipaumbele katika sekta ya kilimo ili kutokomeza umaskini. Akizungumza katika warsha ya wiki mbili iliyowakutanisha wadau wa kilimo nchini, Ofisa Ushawishi wa shirika hilo,…